Nipo field huku nimejaribu kuzungukia shule nyingi za kata zimepata mgao wa walimu mpaka 7 wa masomo ya art ukijumlisha na wale zamani unakuta shule ina walimu 15 wa arts hasa masomo ya History,kiswahili,geography wakati huo huo shule ina wanafunzi 200 kila darasa mkondo 1 ni dhahiri walimu wa masomo ya art wametosha mliopo vyuoni jiandaeni kisaikolojia.