Walimu wa Geography naomba msaada

The larger population the greater health problem and the greater deficit of health facilities. Lakini pia population inapokuwa kubwa na human activities zinakuwa increases na kusababisha environment pollution kutokana na viwanda.
 
Necta Wana vitabu vyao ambavyo hua vinachambua swali kwa swali nenda kwenye website yao utakipata then utajua kiundani swali lilitaka Nini, Tatzo maarifa mengi yamejificha kwenye maandiko. Soma hyo moja ya Andiko lao.
View attachment 1843939
 
Ongezeko la watu linapelekea Over exploitation of resources which means resources will be scarce when you face the problem of scarcity ni lazima innovation itokee zaman Ile huwezi Lima mahindi Heka Moja upate gunia 20 lakin siku hizi ni possible ko unavotaja point uwe makin
 
Hivi katu ya nchi tajiri Na masikini,Ni zipi Zina population density kubwa??
Swali la msingi sana na lipo more practically nchi za Europe hawana rasilimali so kupunguza population ni muhimu Moja Kwa Moja ila sight few example za nchi kama USA,China,Brazil,India je hawajapiga hatua ya kimaendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…