kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Hilo wala halina mjadala. Watanzania wengi wana BA za Kiswahili na hawana kazi na kazi ziko kibao Afrika Kusini, Rwanda na sasa Uganda. Serikali haina mkakati wo wote na kote huko Wakenya ndo mmejazana na Kiswahili chenu kilichochanganywa na Sheng.
Tanzania kwenye fursa za kimataifa tunatia aibu kwa kweli!
Swahili teachers also need to speak English for translation purposes. And as per Nyerere illiteracy doctrine, they can't.
Plus Tanzanians are lazy and don't like exploring opportunities outside Tanzania.
If I was a betting man, 9 out of 10 Swahili jobs in other African countries will be filled by Kenyans.