nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
iko haja ya sheria ya KUHASIWA wanaolawiti watoto......anahasiwa tu.......then arudi mtaani...Nani anawakingia kifua??hyo ni kesi kubwa sana mpk sasa hawakustahili kuwa uraiani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko haja ya sheria ya KUHASIWA wanaolawiti watoto......anahasiwa tu.......then arudi mtaani...Nani anawakingia kifua??hyo ni kesi kubwa sana mpk sasa hawakustahili kuwa uraiani kabisa
Usisahu wale wa vatican ambao wanawaanda watoto waje kumtumikia bwana kwa kuwavuluga kinyume na maumbile.kobaz boy saleh ayoub ni mbakaji hodari mazee...kitaa sifa zake zinajulikanaa
Nimesikitika sana mkuu. Nilisoma hapo enzi Bujugo yupo Hai ilikuwa poa sana bata sana. If I am not mistaken Bujugo na Mkewe Walishatangulia Mbele Ya Haki Watoto Wameshindwa Kuziendeleza Assets Wakishua SanaAisee hii shule kipindi flani ilikimbiza mno.
Ila kwa sasa Imebakia majengo tu.
Na kwa vitendo kama hivi ndio wanaimalizia kabisa.
Kama unaishi katika jamii, hata watoto wa wenzako ni wako pia.Tanzania imelaaniwa nShukuru sana watoto zangu hawapo hapa
ova
Unaweza mwadabisha mtoto wa mwingine huyo huyo mzazi akukupa kesi.....Kama unaishi katika jamii, hata watoto wa wenzako ni wako pia.