Walimu wa Tanzania, hebu tazama hapa

Walimu wa Tanzania, hebu tazama hapa

money cant buy happiness!muangalie passion co ku compare upuuzi..
 
May be tofauti inatokana na ukweli kwamba kazi ya ualim haina risk ya ushindani ktk kutafuta kazi (almost direct employment), na fani ya ualim imewekwa as a lee way kwa waliofeli au wanao ogopa ushindani wa kutafuta kazi, unlike fani zingine nyingi.
sasa wewe inakuaje tena? halafu unaandika idea kama zangu kha!
 
WAKO TAYARI, UALIMU NI WITO SIO MSHAHARA. Halafu mkuu angalia hapo juu neno lililopigiwa mstari....!

Hata udaktari ni wito.
Je unajua kuna watu wengi ambao ni vichwa na wana wito wa kuwa walimu lakini hawaendi ualimu kwa sababu mishahara ni midogo, hawa ni watu ambao kama wangeenda ualimu tungekuwa na elimu bora tusingekuwa na wanafunzi wanaohitimu bila kujua kusoma au kuandika au bila kuweza ku practice walichosomea.
Kama serikali haitatatua tazizo la mishahara ya walimu, tutaendelea kuwa na wahitimu bogus na hatutatoka kamwe.
 
Back
Top Bottom