Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mnakomalia vyakula kama vile huwa hamli makwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wakatae vyakula vya bure kisa mshahara haujaongezwa?Mnakomalia vyakula kama vile huwa hamli makwenuView attachment 2207151
Ukweli ni kwamba mtu yoyote anae tegemea kuajilowa mda wake wamaisha anakua na kasoro katika reasoningwatumishi wa umma wa Tanzania ni kikundi cha watu waoga, wajjinga na wapuuzi wasio na matumaini yeyote?
Hata ukiwa na akili zako ukikaa halmashauri kwa mwaka mmoja tu unaanza kuwa mjpuuzi.
unadai kuongezewa mishahara kwa BANGO lililoandaliwa na kuhaririwa na unayemdai usiku?
Nilishawahi kufanya kazi H/W kwa bahati sijawahi shiriki hizo sherehe japo nilikuwa natishwa sana
siku moja usiku nikiwa natoka matembezi nikapita karibu na ofsi za TISS, nikakuta mabango ambayo yatapita kesho yanatolewa ndani na kuingizwa kwenye gari lao niliwadharau sana watu wa TISS na watumishi wa umma.
siyo walimu tu sema wao wengi lakini ni wote kwa ujumla wao
Huyo bi mkubwa wa pili kwenye foleni naona yuko makini kweli kweli! 😬Mnakomalia vyakula kama vile huwa hamli makwenuView attachment 2207151
Hahaha. mtu akipata laki moja nje ya mshahara huyo bingwaBasi wakipewa majukumu ya sensa au uchaguzi wanaona kama wao ni watawala wa nchi
Ungewasilisha maoni yako Kwa lugha ya staha ungeeleweka tu, Haina haha ya kujaa gas.watumishi wa umma wa Tanzania ni kikundi cha watu waoga, wajjinga na wapuuzi wasio na matumaini yeyote?
Hata ukiwa na akili zako ukikaa halmashauri kwa mwaka mmoja tu unaanza kuwa mjpuuzi.
unadai kuongezewa mishahara kwa BANGO lililoandaliwa na kuhaririwa na unayemdai usiku?
Nilishawahi kufanya kazi H/W kwa bahati sijawahi shiriki hizo sherehe japo nilikuwa natishwa sana
siku moja usiku nikiwa natoka matembezi nikapita karibu na ofsi za TISS, nikakuta mabango ambayo yatapita kesho yanatolewa ndani na kuingizwa kwenye gari lao niliwadharau sana watu wa TISS na watumishi wa umma.
siyo walimu tu sema wao wengi lakini ni wote kwa ujumla wao
Wacha watu wale.....Mnakomalia vyakula kama vile huwa hamli makwenuView attachment 2207151
Mimi ni Namba moja ktk hao unaowadharau.Mimi ukinidharau na huku familia yangu ina uhakika wa kwenda chooni,sioni shida.Nitukane tusi lolote lile unalolitaka wewe lkn km maisha yanasonga siwezi kuchukia, Zaidi ya kumshukuru MUNGU kwa kunijalia kupata ajira.watumishi wa umma wa Tanzania ni kikundi cha watu waoga, wajjinga na wapuuzi wasio na matumaini yeyote?
Hata ukiwa na akili zako ukikaa halmashauri kwa mwaka mmoja tu unaanza kuwa mjpuuzi.
unadai kuongezewa mishahara kwa BANGO lililoandaliwa na kuhaririwa na unayemdai usiku?
Nilishawahi kufanya kazi H/W kwa bahati sijawahi shiriki hizo sherehe japo nilikuwa natishwa sana
siku moja usiku nikiwa natoka matembezi nikapita karibu na ofsi za TISS, nikakuta mabango ambayo yatapita kesho yanatolewa ndani na kuingizwa kwenye gari lao niliwadharau sana watu wa TISS na watumishi wa umma.
siyo walimu tu sema wao wengi lakini ni wote kwa ujumla wao
Hapo mkuu haupo? 😂Tunasikitisha aisee
Mkorofi weweHapo mkuu haupo? 😂
Hapa ndio wamemalizana kabisa, CCM wanawajulia sana walimuMnakomalia vyakula kama vile huwa hamli makwenuView attachment 2207151