Abdulazizmomba
Senior Member
- May 9, 2015
- 189
- 35
Walimu wa tempo wamekua wakirudisha nyuma suala la ualimu kwa kasi ya ajabu kwani wamekua na tabia ya kuvujisha mitihani kwa wanafunzi haswa walimu wa kiume mara nyingi wamekua na tabia ya kuwapa wanafunzi wa kike mitiani ili kuwanasa katika mtego wa mapenzi.
Kwa hali hii elimu itakua kweli?
Kwa hali hii elimu itakua kweli?