Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wakuu,
Kuna jambo moja huwa najiuliza kuhusu walimu (wahadhiri) wa vyuo vikuu ambao tangu wamalize shahada zao za kwanza na kufanya vizuri, hawajawahi kufanya kazi katika taaluma walizosomea lakini wanaendelezwa/wanajiendeleza mpaka kufikia kupata Doctorate au Uprofesa na kurudi vyuoni kuendelea kurudisha kama wanaweza kuwa walimu wazuri wa kuwapa wanafunzi wao maarifa.
Hawa ni wale ambao hubakizwa vyuoni baada ya kupata ufaulu wa juu na kuanza kusimamia seminars kisha wakipata masters wanakuwa Assistant Lecturers then Lecturers baada ya kupata PhD na hata kuwa professor baadae ila hawajawahi kufanya kazi zaidi tu ya kuwa academicians.
Je, walimu hawa wanafaa kutoa maarifa yanayotakiwa ili wanafunzi wao waweze kuwa competent katika nadharia na zaidi katika vitendo?
Binafsi naamini kuwa through practice, kuna mambo mengi mtu unajifunza, mambo ambayo hata wanafunzi wako wanapaswa kufundishwa na hasa kama utakuwa ume-practise muda mrefu.
Ni imani yangu pia, mtu alie-practise anaweza kuandaa notes nzuri zaidi na hata kutoa assignment/test zitazomsaidia mwanafunzi kwenye field husika na pia kutunga maswali/ mitihani yenye uhalisia zaidi na kile ambacho mwanafunzi wake atakutananacho field.
Kuna jambo moja huwa najiuliza kuhusu walimu (wahadhiri) wa vyuo vikuu ambao tangu wamalize shahada zao za kwanza na kufanya vizuri, hawajawahi kufanya kazi katika taaluma walizosomea lakini wanaendelezwa/wanajiendeleza mpaka kufikia kupata Doctorate au Uprofesa na kurudi vyuoni kuendelea kurudisha kama wanaweza kuwa walimu wazuri wa kuwapa wanafunzi wao maarifa.
Hawa ni wale ambao hubakizwa vyuoni baada ya kupata ufaulu wa juu na kuanza kusimamia seminars kisha wakipata masters wanakuwa Assistant Lecturers then Lecturers baada ya kupata PhD na hata kuwa professor baadae ila hawajawahi kufanya kazi zaidi tu ya kuwa academicians.
Je, walimu hawa wanafaa kutoa maarifa yanayotakiwa ili wanafunzi wao waweze kuwa competent katika nadharia na zaidi katika vitendo?
Binafsi naamini kuwa through practice, kuna mambo mengi mtu unajifunza, mambo ambayo hata wanafunzi wako wanapaswa kufundishwa na hasa kama utakuwa ume-practise muda mrefu.
Ni imani yangu pia, mtu alie-practise anaweza kuandaa notes nzuri zaidi na hata kutoa assignment/test zitazomsaidia mwanafunzi kwenye field husika na pia kutunga maswali/ mitihani yenye uhalisia zaidi na kile ambacho mwanafunzi wake atakutananacho field.