frank wa moyo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 480
- 113
tuwape mtihani huo huo baraza la mawaziri la jk kama watachomoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu mzuri ni yule aliyefanya mtihani wa necta na akafaulu, Universities watu wanatungiwa mitihani na malecturer wanaowafundisha wakiwa wanajua mazingira halisi ya wanafunz wao na namna gani ya kubalance ili mambo yaende. Sioni tatizo sana kwa walimu wa stashahada na astashahada kufail na wala sioni kama tatizo ni kufail form six. Kwani pia tumeona udsm wakidisco zaidi ya wanafunz 500. Mi nasema tatizo ni mfumo wa elimu yetu tu ndo mmbovu. Kuna kila sababu ya kufanya marekebisho makubwa la sivyo tutegemee madudu zaidi. Na ikitokea wanafunz walioko vyuo vikuu wakatungiwa mitihani na walimu wasiowafundisha na wakasahihishwa na walimu wengine aibu yake inaweza kuwa ya karne nzima. Ni mtazamo wangu tu.