Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
JK afanye nini? hao waalim si ni wasomi, nikiwa na maana wanajua haki zao! labda uniambia ni UPE kama mkuu wa mkoa fulani. walikubali vipi kulala chini na kucharazwa na sungu sungu ambao hata shule hawakwenda. JK atafanya mangapi? makosa ni yao wenyewe kukubali kulazwa chini mbele ya kadamnasi na machokoraa.Aisee, hii ni aibu kwa nchi inayojigamba kuwa ina utawala bora na unaofuata sheria. JK upo wapi?