Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Mwenye uchungu ni msaliti wa Nchi Lissu tu, maana anajua malengo kutoka alikotumwa ubeligiji hayatatimia
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
hahahaha pa kuponea hampaoni ..na sio waalimu tu..wapo wengi wana uchungu mkali sana na uchungu wao watauonesha oktoba 28 kwa kumpigia kura Lissu kua rais wa Tanzania kwa miaka kumi mfululizo.