hahahaha pa kuponea hampaoni ..na sio waalimu tu..wapo wengi wana uchungu mkali sana na uchungu wao watauonesha oktoba 28 kwa kumpigia kura Lissu kua rais wa Tanzania kwa miaka kumi mfululizo.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania CHAKAMWATA kimelia kilio cha uchungu mkubwa sana kwamba kuna uonevu mkubwa sana unaofanywa na serikali ya awamu ya 5.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.
Huu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Usichojua ni kuwa uchaguzi ni maisha na October ikiisha kinachofuata ni utekelezaji ya vyote vilivyoaahidiwa sioni jipya zaidi ya balaaa linakuja CCM ikishinda.
OvaNi kazi ya watu wasiojitambua
Wengi walijazana kwenye CCM kugombea na wote hawakupitishwa na chama
Usichoelewa ni nini? Sheria ya kikokotoo kipya bado ipo pale pale haijafutwa. Magufuli aliahirisha kutumika kwa sheria hii mbaya ya kionezi ili kupunguza hasira za wafanyakazi kabla ya Uchaguzi huu.Tuwe tunatenda haki kwa Mhe. Rais Dr. JPJM kwa namna alivyolishughulikia suala la kikokotoo. Unaposema Kikokotoo bado kipo unamaanisha nini wakati Walimu (Waliokuwa PSPF) wanaendelea kulipwa kwa Kikokotoo cha 1/540 Accrued Factor, 15.5 Reducing Factor na Mkupuo wa 50% kama ilivyokuwa hapo awali. Kikokotoo cha 1/580, 12.5 & 25% kilipigwa stop hadi 2023 na Wafanyakazi tunafahamu Serikali imeshaanza mazungumzo na Wadau ili kupata kikokotoo kitakachokidhi haja za pande zote (Mifuko na Wanachama).
Ni vyema mabaya tuyaseme lakini yanapofanyika mazuri pia tuyaseme. Lazima Kikokotoo kipya kitengenezwe kitakachojali Uhai wa Mifuko na wakati huo huo kiwapatie wastaafu mafao yatakayowapatia maisha yenye staha wakiwa nje ya ajira. Walimu waendelee kuwasiliana na CWT ambayo ipo ndani ya TUCTA waweze kujua ukweli wa jambo hili na kuepuka uchichezi usio wa lazima baina ya Walimu na Mhe. Rais.
Walimu Tarehe 28 tumchague Magufuli ili aweze kutupatiamafao yetu na kuendelea kutuboroshea maisha yetu.Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania CHAKAMWATA kimelia kilio cha uchungu mkubwa sana kwamba kuna uonevu mkubwa sana unaofanywa na serikali ya awamu ya 5.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.
PESA YETU TUNAONA ZINAZOFANYIA SIYO WAKATI WA BUSINESS AS USUAL, HATA AMBAVYO NIMENYIMWA KUPANDISHWA MSHAHARA NA MADARAJA TANGU 2015, PESA HIZO ZIMEJENGEA HOSPITAL, SHULE, BARABARA, BOMBADIA, STIGLER GORGE, SGR NK. KILOHO SAFI MAANA IWAPO NINGEONGEZEWA MSHAHARA ALAFU UFISADI UENDELEE, SISI WATUMISHI WA UMMA TULISHA DHARAULIKA SANA NA WAPIGA DILI, KWA SASA WAPIGA DILI WANATUSAKA KAMA TANZANITE ILI TUWAKOPESHE NA KUWAKOPA KWA RIBA, IN BAYPOT AND FINCA VOICE(MAPIGA DIRI), MKOPO USIOKWISHA WENYE RIBA 100% SHAME ON THEMLakini watumishi hao hao ndio wanamshangilia magufuri
Ila acha wale matunda ya kujipendekeza
Ndugu una uhaini rohoni mwako si bureChama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania CHAKAMWATA kimelia kilio cha uchungu mkubwa sana kwamba kuna uonevu mkubwa sana unaofanywa na serikali ya awamu ya 5.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.
Kwel mkuu mkoan iringa kuna walim wanajiita wazalendo huwaa nawaonea huruma sana wote n ccm zen wakitoka kubwabwaja kwa media wanaaza kunywa bingwa na eagle za buku buku pamoja na vitoko vya jelo jeloChama cha walimu kina watu wengi wajinga sn, kinatumika na CCM lakini wanachama wake hawanufaiki hata kidogo
Unaposema lazima kikokotoo kijali uhai wa mifuko unamaanisha nini?Tuwe tunatenda haki kwa Mhe. Rais Dr. JPJM kwa namna alivyolishughulikia suala la kikokotoo. Unaposema Kikokotoo bado kipo unamaanisha nini wakati Walimu (Waliokuwa PSPF) wanaendelea kulipwa kwa Kikokotoo cha 1/540 Accrued Factor, 15.5 Reducing Factor na Mkupuo wa 50% kama ilivyokuwa hapo awali. Kikokotoo cha 1/580, 12.5 & 25% kilipigwa stop hadi 2023 na Wafanyakazi tunafahamu Serikali imeshaanza mazungumzo na Wadau ili kupata kikokotoo kitakachokidhi haja za pande zote (Mifuko na Wanachama).
Ni vyema mabaya tuyaseme lakini yanapofanyika mazuri pia tuyaseme. Lazima Kikokotoo kipya kitengenezwe kitakachojali Uhai wa Mifuko na wakati huo huo kiwapatie wastaafu mafao yatakayowapatia maisha yenye staha wakiwa nje ya ajira. Walimu waendelee kuwasiliana na CWT ambayo ipo ndani ya TUCTA waweze kujua ukweli wa jambo hili na kuepuka uchichezi usio wa lazima baina ya Walimu na Mhe. Rais.
ππππ ila awamu hii ya mauaji kweli!!! Hizo kelele za bima pia nilizisikia sana.Kikokotoo hakiwezi kuwa na faida kwa wastaafu kwa kuwa fedha wanazokatwa kwa ajili ya mafao yao huchukuliwa na serikali badala ya kuwekezwa ktk kuboresha maslahi ya wafanyakazi. Ndio maana wanacholipwa ni kidogo sana.
Hivyohivyo kwa bima ya afya fedha nazo hubebwa na serikali na sasa ndio maana wameondoa matibabu ya magonjwa mengi na wameacha malaria tu.
Ccm must goChama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania CHAKAMWATA kimelia kilio cha uchungu mkubwa sana kwamba kuna uonevu mkubwa sana unaofanywa na serikali ya awamu ya 5.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.
Halafu mtu mwenye elimu yake ampegie kura? Kwa Sera ipi inayomfavour? Kama wafanyakazi watawapigia kura Chama tawala basi elimu kwa wanangu itakua sio kwa ajili ya kuwakomboa Bali kuwafanya watumwa!!FAO LA KUJITOA liliondolewa na CCM ...
Maelfu ya wanyonge sekta binafsi Wana hasira na NSSF
CCM walipitisha FAO la kukosa ajira, mkataba ikiisha, yanalipwa 33% ya mshahara kwa miezi 6 ...na sio akiba yako yote
Je, Kwa akili za maccm, afya... hospital utalipa 33%...Je ...Kodi ya Nyumba utalipa 33%?
Magufuli rudisha Fao la kujitoa kwa wanyonge.
2023 ndio waalimu mnaenda kusokomezwa madoleTuwe tunatenda haki kwa Mhe. Rais Dr. JPJM kwa namna alivyolishughulikia suala la kikokotoo. Unaposema Kikokotoo bado kipo unamaanisha nini wakati Walimu (Waliokuwa PSPF) wanaendelea kulipwa kwa Kikokotoo cha 1/540 Accrued Factor, 15.5 Reducing Factor na Mkupuo wa 50% kama ilivyokuwa hapo awali. Kikokotoo cha 1/580, 12.5 & 25% kilipigwa stop hadi 2023 na Wafanyakazi tunafahamu Serikali imeshaanza mazungumzo na Wadau ili kupata kikokotoo kitakachokidhi haja za pande zote (Mifuko na Wanachama).
Ni vyema mabaya tuyaseme lakini yanapofanyika mazuri pia tuyaseme. Lazima Kikokotoo kipya kitengenezwe kitakachojali Uhai wa Mifuko na wakati huo huo kiwapatie wastaafu mafao yatakayowapatia maisha yenye staha wakiwa nje ya ajira. Walimu waendelee kuwasiliana na CWT ambayo ipo ndani ya TUCTA waweze kujua ukweli wa jambo hili na kuepuka uchichezi usio wa lazima baina ya Walimu na Mhe. Rais.
Hayo ni manyumbu yatajichanganya tu. Ndio wanaenda kusimamia kupindua meza.Wajichanganye wachague tena CCM waone chamoto