Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora wanifukuze kazi kuliko kuacha kubeti mama samia popote ulipo mimi kama mwalimu nimegoma kuacha kubet mana dharau mmeanza nyiny tumewafundisha kusoma a e i o u leo unaitwa rais lakin mnatuona walimu kama kiaz cha motisha leo mje mtuambie tuache kubeti mnataka tufanye nini oyaa walimu wenzangu ikifikia tarehe 20 pandishen uzi wa mishahara mbona inachelewa mkishapata mpeni man city yanga na livepoor then tukutane bar tungoje tarehe 20 inayofuata kwakwel tungoje penshen mana wanatuona wapuuz oya dj tulete walimu na nyimbo ya marioo -bia tam then malizia na ya hamonize-nikilewa sitaki nigasiwe niaje mtoa mada mbona unatukela,,, asanteeee djCc: mr pipa tokea pande za njombe.
mnazingua kwa kweli leo kuna mwenzenu Mwalimu wa field kapost makende yake kule habari na hoja mchanganyikobora wanifukuze kazi kuliko kuacha kubeti mama samia popote ulipo mimi kama mwalimu nimegoma kuacha kubet mana dharau mmeanza nyiny tumewafundisha kusoma a e i o u leo unaitwa rais lakin mnatuona walimu kama kiaz cha motisha leo mje mtuambie tuache kubeti mnataka tufanye nini oyaa walimu wenzangu ikifikia tarehe 20 pandishen uzi wa mishahara mbona inachelewa mkishapata mpeni man city yanga na livepoor then tukutane bar tungoje tarehe 20 inayofuata kwakwel tungoje penshen mana wanatuona wapuuz
tuna stress kwakwel wazaz mtuwie radh toka 2010 mshahara ni ule ule vinatupita hadi viazi vinapanda bei sisi ni walewale hela ile ilemnazingua kwa kweli leo kuna mwenzenu Mwalimu wa field kapost makende yake kule habari na hoja mchanganyiko
Imagine unaambiwa hivyo huku umeshasuka mkeka wako mwenyewe na unasubili timu moja tu itiki ubebe kibunda chako..HABARI Walimu katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wametakiwa kujiepusha na tabia ya kucheza michezo ya kubeti na kuchukua mikopo kandamizi ambayo imekuwa ikishusha heshima ya Mwalimu na utumishi wa umma.
View attachment 3120288
Yan toka 2010 mshahara aujapanda?amna bna si kila 3 yr unapanda?tuna stress kwakwel wazaz mtuwie radh toka 2010 mshahara ni ule ule vinatupita hadi viazi vinapanda bei sisi ni walewale hela ile ile
hiyi nchi we unaijua vizur na si mgeni nayo ila kama ulikuwa msumbiji labdaYan toka 2010 mshahara aujapanda?amna bna si kila 3 yr unapanda?
Wamekatazwa na nani?HABARI Walimu katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wametakiwa kujiepusha na tabia ya kucheza michezo ya kubeti na kuchukua mikopo kandamizi ambayo imekuwa ikishusha heshima ya Mwalimu na utumishi wa umma.
View attachment 3120288
Yaan nabeti kistaarabu kwa mwez sikos laki 3 afu anatokea mjinga mmoja ambae hata huwa hatetei maslahi yetu anabwabwajabora wanifukuze kazi kuliko kuacha kubeti mama samia popote ulipo mimi kama mwalimu nimegoma kuacha kubet mana dharau mmeanza nyiny tumewafundisha kusoma a e i o u leo unaitwa rais lakin mnatuona walimu kama kiaz cha motisha leo mje mtuambie tuache kubeti mnataka tufanye nini oyaa walimu wenzangu ikifikia tarehe 20 pandishen uzi wa mishahara mbona inachelewa mkishapata mpeni man city yanga na livepoor then tukutane bar tungoje tarehe 20 inayofuata kwakwel tungoje penshen mana wanatuona wapuuz oya dj tulete walimu na nyimbo ya marioo -bia tam then malizia na ya hamonize-nikilewa sitaki nigasiwe niaje mtoa mada mbona unatukela,,, asanteeee dj
Mkuu nilipost katika kujifunza tumnazingua kwa kweli leo kuna mwenzenu Mwalimu wa field kapost makende yake kule habari na hoja mchanganyiko
Karibu kwenye uzi wangu muda si mrefu napost mrejeshomnazingua kwa kweli leo kuna mwenzenu Mwalimu wa field kapost makende yake kule habari na hoja mchanganyiko