Walimu wakenya wanaofundisha Tanzania wailaumu serikali ya Tanzania kwa kuwakosesha ajira

Walimu wakenya wanaofundisha Tanzania wailaumu serikali ya Tanzania kwa kuwakosesha ajira

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.

Wanasema ; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2.

Wazazi wengi sana wanawatoa watoto wao kwenye shule za EMs na kuwapeleka Kayumba kwa sababu watoto wao wataenda sekondary tu kwa kuwa hakuna tena mitihani ya kujipima.

Tunaomba serikali ya Tanzania irudishe mitihani ya darasa la 7 ili sisi walimu wa Kenya tunao fundisha kwenye shule za Ems hapa Tz tupate ajira. Wazazi wanapo watoa watoto wao kwenye shule za EM wanasababisha tukose mishahara kwa sababu sisi mishahara yetu inategemeana na ada za wanafunzi."


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na kundi kubwa sana la wazazi ambao wanawatoa watoto wao kutoka kwenye shule za ENGLISH Mediums na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba..


# Making Kayumba Schools Great Again.

# MAKAGA Campaign.
 
Ni walimu wakjenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.

Wanasema ; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2.

Wazazi wengi sana wanawatoa watoto wao kwenye shule za EMs na kuwapeleka Kayumba kwa sababu watoto wao wataenda sekondary tu kwa kuwa hakuna tena mitihani ya kujipima.

Tunaomba serikali ya Tanzania irudishe mitihani ya darasa la 7 ili sisi walimu wa Kenya tunao fundisha kwenye shule za Ems hapa Tz tupate ajira. Wazazi wanapo watoa watoto wao kwenye shule za EM wanasababisha tukose mishahara kwa sababu sisi mishahara yetu inategemeana na ada za wanafunzi."


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na kundi kubwa sana la wazazi ambao wanawatoa watoto wao kutoka kwenye shule za ENGLISH Mediums na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba..


# Making Kayumba Schools Great Again.

# MAKAGA Campaign.
Ni lini mitihani ya darasa la saba ilifutwa? Mimi ninachojua ni kwamba wamefanya elimu
msingi iwe mpaka kidato cha 4. Ungesema tuu kwamba mtihani wa darasa la saba hauna umuhimu ule wa zamani kwamba ni lazima ufaulu kwa wastani wa angalau C ndio uingie kidato cha kwanza

Wewe unasifia Kayumba kwa sababu huna ela ila watu wenye ela zao bado wanapeleka
watoto wao English medium na asilimia kubwa ya walimu ni Watanzania.
 
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.

Wanasema ; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2.

Wazazi wengi sana wanawatoa watoto wao kwenye shule za EMs na kuwapeleka Kayumba kwa sababu watoto wao wataenda sekondary tu kwa kuwa hakuna tena mitihani ya kujipima.

Tunaomba serikali ya Tanzania irudishe mitihani ya darasa la 7 ili sisi walimu wa Kenya tunao fundisha kwenye shule za Ems hapa Tz tupate ajira. Wazazi wanapo watoa watoto wao kwenye shule za EM wanasababisha tukose mishahara kwa sababu sisi mishahara yetu inategemeana na ada za wanafunzi."


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na kundi kubwa sana la wazazi ambao wanawatoa watoto wao kutoka kwenye shule za ENGLISH Mediums na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba..


# Making Kayumba Schools Great Again.

# MAKAGA Campaign.
Bado umuhimu wa kiwasomesha watoto English medium upo. Hatuwapeleki watoto English medium ili wafaulu mtihani wa darasa la Saba, maana kifaulu ulioluwa ukiitwa mtihani wa darasa la Saba siku hizi ni 22/7 au 3.14 au Ο€. Watoto wachache waliokuwa wakifeli ule mtihani wa la Saba hawawezi toka familia zenye mwamko wa kumsomesha English medium hata kama watasoma kayumba.
Ukweli halisi, tunawatoa watoto Kwa ku obey ' le chatelliers principle'.
 
Hivi hii inatokana na nini? Unakuta Tz kuna walimu jobless 1M+ lakini bado tunaajiri wageni.. ?
 
Bado umuhimu wa kiwasomesha watoto English medium upo.
Umuhimu wake ni nini mkuu?
Hatuwapeleki watoto English medium ili wafaulu mtihani wa darasa la Saba,

Ila?
maana kifaulu ulioluwa ukiitwa mtihani wa darasa la Saba siku hizi ni 22/7 au 3.14 au Ο€. Watoto wachache waliokuwa wakifeli ule mtihani wa la Saba hawawezi toka familia zenye mwamko wa kumsomesha English medium hata kama watasoma kayumba.
Ukweli halisi, tunawatoa watoto Kwa ku obey ' le chatelliers principle'.
 
Ni lini mitihani ya darasa la saba ilifutwa? Mimi ninachojua ni kwamba wamefanya elimu
msingi iwe mpaka kidato cha 4. Ungesema tuu kwamba mtihani wa darasa la saba hauna umuhimu ule wa zamani kwamba ni lazima ufaulu kwa wastani wa angalau C ndio uingie kidato cha kwanza

Wewe unasifia Kayumba kwa sababu huna ela ila watu wenye ela zao bado wanapeleka
Inaonekana hujawahi somesha mtoto kwenye shule ya EM. Asilimia tisini ya wazazi wanao somesha watoto wao English Mediums ni masikini kama wewe tu mkuu ila wanajibana/ wanapambana ili watoto wao wasome shule za EM.

Wengi wao ni ma barmaid, ma single mothers wapiga vizinga n.k.
watoto wao English medium na asilimia kubwa ya walimu ni Watanzania.
 
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.

Wanasema ; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2.

Wazazi wengi sana wanawatoa watoto wao kwenye shule za EMs na kuwapeleka Kayumba kwa sababu watoto wao wataenda sekondary tu kwa kuwa hakuna tena mitihani ya kujipima.

Tunaomba serikali ya Tanzania irudishe mitihani ya darasa la 7 ili sisi walimu wa Kenya tunao fundisha kwenye shule za Ems hapa Tz tupate ajira. Wazazi wanapo watoa watoto wao kwenye shule za EM wanasababisha tukose mishahara kwa sababu sisi mishahara yetu inategemeana na ada za wanafunzi."


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na kundi kubwa sana la wazazi ambao wanawatoa watoto wao kutoka kwenye shule za ENGLISH Mediums na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba..


# Making Kayumba Schools Great Again.

# MAKAGA Campaign.
Tell them yooo, they have to shut up coz they came here crack our city cause our brother and sister loose the damn job which most of them struggle about 3 year and still on street no future ahead so let them pack their bags for good.
 
Duh kumbe wewe bado unawaza kuajiriwa mkuu pole sana. Your mindset has stuck in the 80s
Sentensi nzima umeona ajira tu hapo??? Na hata hizo biashara unazotaka kujisifia wengi wenu watoa makafara na wafuga misukule tu ndo maana hata hizo pesa hamuwezi kurithisha vizazi na vizazi
 
Sentensi nzima umeona ajira tu hapo??? Na hata hizo biashara unazotaka kujisifia wengi wenu watoa makafara na wafuga misukule tu ndo maana hata hizo pesa hamuwezi kurithisha vizazi na vizazi
unasikiliza sana maneno ya vijiweni mkuu.

Mwanaume haheshimiki kupanga kwenye nyumba nzuri. Anaheshimiwa kujenga nyumba nzuri.

Huwezi kuheshimika kwa sababu ulisoma kwenye shule ya hela nyingi, shule ya vipaji maalumu, chuo chenye hadhi ya juu kitaaluma.

Utasifiwa kwa vitu vya thamani unavyo vimiliki kama vile fedha, mali, majumba, mashamba, biashara etc.

There is no good title as ownership.

Usisahau kuwapa watoto wako urithi wa hali halisi.

Don't stress urself kulipa mamilioni kuwasomesha watoto wako ENGLISH Mediums
 
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.

Wanasema ; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2.

Wazazi wengi sana wanawatoa watoto wao kwenye shule za EMs na kuwapeleka Kayumba kwa sababu watoto wao wataenda sekondary tu kwa kuwa hakuna tena mitihani ya kujipima.

Tunaomba serikali ya Tanzania irudishe mitihani ya darasa la 7 ili sisi walimu wa Kenya tunao fundisha kwenye shule za Ems hapa Tz tupate ajira. Wazazi wanapo watoa watoto wao kwenye shule za EM wanasababisha tukose mishahara kwa sababu sisi mishahara yetu inategemeana na ada za wanafunzi."


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na kundi kubwa sana la wazazi ambao wanawatoa watoto wao kutoka kwenye shule za ENGLISH Mediums na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba..


# Making Kayumba Schools Great Again.

# MAKAGA Campaign.
Umeandika ujinga

Toka zamani wazazi wanaojielewa mtoto akimaliza tu mtihani wa darasa la nne walikuwa wakimpeleka private school form one hata kama anasoma shule ya msingi ya private

Mbona wako kibao muda mrefu tu ambao darasa la saba hawakufika wazazi wengi walihamisha watoto wakifika la tano na ls sita kwenda direct secondary

Wewe ndio unajua leo

Mfano mimi sina cheti cha darasa la saba
 
Umeandika ujinga

Toka zamani wazazi wanaojielewa mtoto akimaliza tu mtihani wa darasa la nne walikuwa wakimpeleka private school form one hata kama anasoma shule ya msingi ya private

Mbona wako kibao muda mrefu tu ambao darasa la saba hawakufika wazazi wengi walihamisha watoto wakifika la tano na ls sita kwenda direct secondary

Wewe ndio unajua leo

Mfano mimi sina cheti cha darasa la saba
Soma tena ulicho kiandika halafu ujiulize umeelewa nini
 
Hivi hii inatokana na nini? Unakuta Tz kuna walimu jobless 1M+ lakini bado tunaajiri wageni.. ?
Mwekezaji shule mgeni unataka uajiriwe wewe? Nenda makampuni ya wawekezaji wahindi wanajaa wahindi

Au nenda kampuni za ndani mwekezaji mchaga,au mpemba au mwarabu unataka awajaze wandengereko?

Unalilia ajira mahali usipowekeza
 
Back
Top Bottom