Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mikopo inawadhililisha kila kona ya nchi.
Kampuni za Microfinance zinawakopesha wanashindwa kulipa.
Wanashitakiwa kila kona na hii ni aibu kubwa kwa mwajiri wao maana inaonekana hawallipi vizuri.
Kampuni za Microfinance zinawakopesha wanashindwa kulipa.
Wanashitakiwa kila kona na hii ni aibu kubwa kwa mwajiri wao maana inaonekana hawallipi vizuri.