NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Waziri wa TAMISEMI ndugu Inocent Bashungwa, tumezisikia blah blah zako kuhusu walimu na matatizo yao ambayo ni sugu tangu Uhuru.
Walimu ndio waasisi wa Taifa hili lakini serikali ya CCM ndio imewanyonga sana na kuifanya jamii iwatukane na kuwaaibisha hadi imefikia hatua hakuna mtoto anaetamani kuja kuwa mwalimu!
Serikali imeifanya kazi ya ualimu kuwa ni kazi ya kijinga, duni, isiyofaa na aibu kwa Taifa. Blah blah za matamko ya wanasiasa na wenyeviti wa vyama vya wafanyakazi hazina tija tena kwa wafanyakazi hisusan walimu hapa nchini.
Tunataka sheria mama ya kikatiba na yenye meno dhidi ya serikali maslahi yao yanapo puuzwa kama Sasa!msifanye siasa siasa kwenye matatizo ya walimu! Mmewfanya walimu kama toilet paper wakati wa chaguzi za kula kwenu na kupiga dana dana kutatua matatizo yao.
Sasa wanataka katiba mpya kama msingi wa utatuzi wa Matatizo yao na sio utashi wa wanasiasa walioshika hatamu. Muda wa Rasimu ya Warioba kufanywa katiba mpya itatue changamoto zao umefika!
Nashauri Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha Mukandala, mchakato wa katiba mpya ukamilike mapema kabla ya uchaguzi mkuu 2025!
Blah blah na maneno na kutaka kuwalambisha asali hazitowasaidia! Nawahakikishia hakutakuwa na uchaguzi mkuu bila ya katiba mpya kupatikana!!
Endeleeni kucheza vigodoro na kukata mauno sisi kama wananchi wenye nchi na dola hatukubali uchaguzi bila katiba mpya. Hata mkiwalambisha asali wataitema wanataka katiba mpya sio maneno!
Mwambie Mama Samiah amjumuishe Warioba aanze kazi sarakasi zinaharakisha zaidi ya muda aliopewa na wenye nchi!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
"Ukishupaza shingo, shingo itavunjika"
"Wananchi ndio wenye dola na sio wanasiasa"
Walimu ndio waasisi wa Taifa hili lakini serikali ya CCM ndio imewanyonga sana na kuifanya jamii iwatukane na kuwaaibisha hadi imefikia hatua hakuna mtoto anaetamani kuja kuwa mwalimu!
Serikali imeifanya kazi ya ualimu kuwa ni kazi ya kijinga, duni, isiyofaa na aibu kwa Taifa. Blah blah za matamko ya wanasiasa na wenyeviti wa vyama vya wafanyakazi hazina tija tena kwa wafanyakazi hisusan walimu hapa nchini.
Tunataka sheria mama ya kikatiba na yenye meno dhidi ya serikali maslahi yao yanapo puuzwa kama Sasa!msifanye siasa siasa kwenye matatizo ya walimu! Mmewfanya walimu kama toilet paper wakati wa chaguzi za kula kwenu na kupiga dana dana kutatua matatizo yao.
Sasa wanataka katiba mpya kama msingi wa utatuzi wa Matatizo yao na sio utashi wa wanasiasa walioshika hatamu. Muda wa Rasimu ya Warioba kufanywa katiba mpya itatue changamoto zao umefika!
Nashauri Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha Mukandala, mchakato wa katiba mpya ukamilike mapema kabla ya uchaguzi mkuu 2025!
Blah blah na maneno na kutaka kuwalambisha asali hazitowasaidia! Nawahakikishia hakutakuwa na uchaguzi mkuu bila ya katiba mpya kupatikana!!
Endeleeni kucheza vigodoro na kukata mauno sisi kama wananchi wenye nchi na dola hatukubali uchaguzi bila katiba mpya. Hata mkiwalambisha asali wataitema wanataka katiba mpya sio maneno!
Mwambie Mama Samiah amjumuishe Warioba aanze kazi sarakasi zinaharakisha zaidi ya muda aliopewa na wenye nchi!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
"Ukishupaza shingo, shingo itavunjika"
"Wananchi ndio wenye dola na sio wanasiasa"