usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,725
- 1,190
Walimu waliopata ajira mpya Halmashauli ya kilwa wamelazimika kuendelea na kwaresma katika kipindi hiki cha Pasaka kutokana na uzembe na dharau za kutojali wafanyakazi zinazifanywa na ofisi ya elimu . Mpaka sasa hawajalipwa mshahara wao ambao waliutegemea kwa ajiri ya sikukuu