Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 680
Mkuu Sam love,BABA MDOGO anakusalimia!
Msalimie Pia,mi Hukunipata Pale Ha Ha Ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Sam love,BABA MDOGO anakusalimia!
situational perception mkuu, detail zote wanazo na wanacho ---- ni confirmation tu.
Kachukueni transcripts jamani msije mkapishana na gari la mshahara la mwezi wa nne. Linarudi ndio unakwenda.
Huwezi kuingizwa kwenye payroll kama huna vyeti vya kidato cha 4 na 6,cheti cha kuzaliwa na matokeo ya semisiter zote 3
umewatisha waliobeba apo da inauma
Nauliza. Mimi kitambulisho changu ni cha uzanzibari mkaazi. Lakin kime expired hakiwez ku2mika mpaka nipatiwe chengne. Na cna kitambulisho chochote ata cha kura wala nin. Je ntafunguliwaje akaunt nikifika?
je kwa aliye na account kabisa anaweza kuitumia hiyo? au lazima afungue mpya?