Mhh bado? Ngoja nikaliangalie halafu kama utakosa na nwezi huu.un pm. SriouslyTumekusikia
Taken,na ndiyo maana nimeshangaaAlieandika hii title ya thread hii sio mwalimu
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kisha ukinisikia tupeni hela tufanye kaziTumekusikia
Halmashauri gani mkuuHuku wanakula mishaara huu mwezi wa pili.Pole Mkuu.
Uandishi mzuri wakati mwingine unategemea na chakula sasa chakula tumboni hakuna halafu unataka watu tuandike vizuri swine weweAlieandika hii title ya thread hii sio mwalimu
Au nasema uongo ndugu zangu?
KisaraweHalmashauri gani mkuu
Acheni siasa sisi tunanjaaa mnaleta mambo ya siasaMitano tena kwa mbaliiiiiiiii ila kwa siri sana
Acheni siasa sisi tunanjaaa mnaleta mambo ya siasa
Kisarawe hii au!? Yule mkuu wenu wa wilaya mfatiliaji mzuri sio haya mengine kazi kugombania posho za vikaoKisarawe
Oya nnjaaa ntakutukana swine weweHahaha mitano tenaaaa kwa kishindo cha awamu ya 5
Nijuavyo mimi halmshauri zote wamepewa hela toka mwezi wa walio ajiriwa na ndiyo maana nauliza uko halmashauri gani?Halmashauri gani mkuu
Oya nnjaaa ntakutukana swine wewe