Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,981
- 3,604
Ya Jokate.Kisarawe hii au!? Yule mkuu wenu wa wilaya mfatiliaji mzuri sio haya mengine kazi kugombania posho za vikao
Ni Msimu wa Vumbi na Mafua makali.Ni zaidi ya miezi miwili tangu turipoti vituo vipya kazi. Lakini kuanzia mda huo maisha yamekuwa hayaeleweki tuko kazini kifikra lakini kiakili mawazo yako mbali.
Mshahara hakuna haukuotoka, Pamoja na mheshimiwa Jafo kuziambia halmashauri zitoe hela ya kujikimu bado kimya mpaka sasa, sipati picha watu waliopangiwa miji mikubwa kama Dsm Arusha sijui wanaishije?
Serikali itukumbuke na maisha ni magumu sana huku.
Mtwara municipal na mbinga tc hawajapataMhh bado? Ngoja nikaliangalie halafu kama utakosa na nwezi huu.un pm. Sriously
Hlamshauri gani? Mmekosa wote wa ajira mpya?
Yani ww ndg yetu kitu cha kwanza shukuru tu umepata kazi kuna watu wamenalizs chuo 2014 na fursa hii bado hawajaipata wao wasemeje we piga kazi uhakika wa maisha unao hapo una dhamana tayari unaaminika hata ndgu yako ukimwambia aku busti kdgo hasiti akijua tayar una uhakika wa kurejesha we ganga ganga tu mambo yataenda acha kulialia unatuumiza sisi tunaongoja ile 500 hatujui nayo itatukuta vp ama nayo itatupita mbali sio mbaya japo tuna mambo mengine tunafanya tayr ww vuta subira kama ss tusio na tumaini tumevuta subira ww ndg yetu tayari umesaini mkataba wa kazi shida nn kopa maisha yaendeNi zaidi ya miezi miwili tangu turipoti vituo vipya kazi. Lakini kuanzia mda huo maisha yamekuwa hayaeleweki tuko kazini kifikra lakini kiakili mawazo yako mbali.
Mshahara hakuna haukuotoka, Pamoja na mheshimiwa Jafo kuziambia halmashauri zitoe hela ya kujikimu bado kimya mpaka sasa, sipati picha watu waliopangiwa miji mikubwa kama Dsm Arusha sijui wanaishije?
Serikali itukumbuke na maisha ni magumu sana huku.
Si nimeshakujia kakaNijuavyo mimi halmshauri zote wamepewa hela toka mwezi wa walio ajiriwa na ndiyo maana nauliza uko halmashauri gani?
Halmashauri gani? Mbona husemi hapo?Si nimeshakujia kaka
Acha upumbavu wako ficha hizo kende zakoYani ww ndg yetu kitu cha kwanza shukuru tu umepata kazi kuna watu wamenalizs chuo 2014 na fursa hii bado hawajaipata wao wasemeje we piga kazi uhakika wa maisha unao hapo una dhamana tayari unaaminika hata ndgu yako ukimwambia aku busti kdgo hasiti akijua tayar una uhakika wa kurejesha we ganga ganga tu mambo yataenda acha kulialia unatuumiza sisi tunaongoja ile 500 hatujui nayo itatukuta vp ama nayo itatupita mbali sio mbaya japo tuna mambo mengine tunafanya tayr ww vuta subira kama ss tusio na tumaini tumevuta subira ww ndg yetu tayari umesaini mkataba wa kazi shida nn kopa maisha yaende
MtwaraHalmashauri gani? Mbona husemi hapo?
Kuna mwenzenu kwenye uzi mmoja huko anadai kapata mshahara mwezi huuNi zaidi ya miezi miwili tangu turipoti vituo vipya kazi. Lakini kuanzia mda huo maisha yamekuwa hayaeleweki tuko kazini kifikra lakini kiakili mawazo yako mbali.
Mshahara hakuna haukuotoka, Pamoja na mheshimiwa Jafo kuziambia halmashauri zitoe hela ya kujikimu bado kimya mpaka sasa, sipati picha watu waliopangiwa miji mikubwa kama Dsm Arusha sijui wanaishije?
Serikali itukumbuke na maisha ni magumu sana huku.
Kabla ya kupewa ajira mlikuwa mnalalamika na sasa ajira mmepata mnaanza lawama zingine. Jifunzeni kuwa na roho ya kuridhika. Mishahara inaweza kuchelewa lakini lazima mtalipwa tu kwa maana ni haki yenu.Ni zaidi ya miezi miwili tangu turipoti vituo vipya kazi. Lakini kuanzia mda huo maisha yamekuwa hayaeleweki tuko kazini kifikra lakini kiakili mawazo yako mbali.
Mshahara hakuna haukuotoka, Pamoja na mheshimiwa Jafo kuziambia halmashauri zitoe hela ya kujikimu bado kimya mpaka sasa, sipati picha watu waliopangiwa miji mikubwa kama Dsm Arusha sijui wanaishije?
Serikali itukumbuke na maisha ni magumu sana huku.
Hamna TGTS G7Nasikia mikataba yenu mnaanza na TGTS D3?
Serikali imeamua kuwajali
Kama uko jikoni naomba nikuulize kitu mkuu.Mhh bado? Ngoja nikaliangalie halafu kama utakosa na nwezi huu.un pm. Sriously
Hlamshauri gani? Mmekosa wote wa ajira mpya?
Hujui unachokiongeaHamna TGTS G7
Huyu na mtaka ndio viongozi tunaowataka sio mengine kazi yao kututuongoza tuuYa Jokate.
Acha uongo mkuu nina washkaji zangu halmashuri tatu holaa Kongwa, Geita na Maswa. Hizo habari zako umezitoa wapi ? Siasa hadi kwenye Maisha ya Watu.Nijuavyo mimi halmshauri zote wamepewa hela toka mwezi wa walio ajiriwa na ndiyo maana nauliza uko halmashauri gani?
Acha upumbavu kwenye mikataba yako ulijaza unaaanza unaanzia Tgts gani?! Ulichojaza kwenye mkataba ndio unachoanza nachoHujui unachokiongea
Acha uongo mkuu nina washkaji zangu halmashuri tatu holaa Kongwa, Geita na Maswa. Hizo habari zako umezitoa wapi ? Siasa hadi kwenye Maisha ya Watu.Nijuavyo mimi halmshauri zote wamepewa hela toka mwezi wa walio ajiriwa na ndiyo maana nauliza uko halmashauri gani?
Huyu ni tapeli atakutapeli kuna mwalimu mmoja alishamtapeli kujifanya kwamba anakonectioni ni muongo muongo nanitapeli anashinda jamii forum kuwatapeli watuKama uko jikoni naomba nikuulize kitu mkuu.
Hii issue ya ajira mpya kuanza na TGTS D3 watu wa science itaenda kwa wote hadi walio kazini na itaanza lini?