Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Wakuu nimefka kwenye halmashauri niliyopangiwa kwa ajili ya kuanza kazi(njombe),lakini pesa ya kujikimu imetolewa nusu. KWA SHAHADA TSH-45000@siku, HALMASHAURI imetoa pesa ya siku 3 badala ya siku saba, wanadai eti serikali haijaleta pesa zote! WALIMU WENZANGU HUKO MLIKOLIPOTI PIA KUNA TATIZO KAMA HILI? au ndo ukiona manyoya............