Walimu walioripoti vituo vyao vipya vya kazi kuanzia tarehe 1 mpaka 14 Desemba katika Halmashauri Ya Mji wa Mbinga wameendelea kupata shida huku wakiwa hawajui hatima yao.
Mpaka sasa hawajapewa fedha yao ya kujikimu na wameendelea kusumbuliwa bila kujua hatma yao. Wenzao wa wilaya ya mbinga wameshapata pesa zao.
Tatizo kubwa la kucheleweshwa kwa pesa hizo ni kutokana Mkurugenzi wa halmashauri hiyo kutokuwepo ofisini mara kwa mara. Waalimu wengi wanahangaika maisha ya tabu na mashule yanafungwa hali itakuwa mbaya kwa waalimu wapya.
Labda waamuue kuwa wavuvi ziwa nyasa. Tamisemi tunaomba kwa heshima na taadhima imuangalie mkurugenzi wa halmashauri hii.
Mpaka sasa hawajapewa fedha yao ya kujikimu na wameendelea kusumbuliwa bila kujua hatma yao. Wenzao wa wilaya ya mbinga wameshapata pesa zao.
Tatizo kubwa la kucheleweshwa kwa pesa hizo ni kutokana Mkurugenzi wa halmashauri hiyo kutokuwepo ofisini mara kwa mara. Waalimu wengi wanahangaika maisha ya tabu na mashule yanafungwa hali itakuwa mbaya kwa waalimu wapya.
Labda waamuue kuwa wavuvi ziwa nyasa. Tamisemi tunaomba kwa heshima na taadhima imuangalie mkurugenzi wa halmashauri hii.