Walimu wapya walioripoti makazini Halmashauri ya Mbinga wahenyeshwa

Walimu wapya walioripoti makazini Halmashauri ya Mbinga wahenyeshwa

someni vizuri kwenye hizo rangi ili tusaidiane kushangaa wadau!! ni simba na yanga
Rangi zipi mkuuu acha utoto kwenye inshu za msingi, unafikiri kila mtu analala sebuleni we endelea kulala sebuleni kwa shemeji yako
 

Usijifanye Mjanja wewe Kijana wa Kigoma, punguza kuweka habari za Mwajiri wako Mitandaoni.
Umepata ajira yako punguza kiherehere vinginevyo utakuja kusutwa mchana na ukaishia kuliwa kichwa.
Bahati nzuri unajua lkn mimi nipo songea mwaka 9 peramiho never undermine.Mult task mkuu na ndio kazi yetu kusema kwa ajili wengine unashangaa mimi kuposti hiyo application, Njooo hospitali ya mkoa utanikutaa au maeneo ya Ruhico kambini utanikuta
 
Yani kupata MTU unae mdai pesa ya kujikimu unataka hadi wana JF wajue kuwa unadai pesa ya kujikimu.

Kweli umasikini uliopitiliza unaondoa akili ya kufikiri. Hawa ndio walimu tunaotegemea watufundishie watoto wetu, mtu kaajiliwa juzi leo namshtaki mwajiri wake mtandaoni. Stupid
Kama hawatoi
 
Wengi wa wasomi wa nchi hii ni kama wajinga wengine tu, tuwavumilie.

Mi-5 Tena
 
Back
Top Bottom