- Thread starter
- #61
WaambieDaaah kiongozi wakati wanavumilia wanakula nini au umevimbewa? Halafu unatumia neno labda!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaambieDaaah kiongozi wakati wanavumilia wanakula nini au umevimbewa? Halafu unatumia neno labda!?
Wale wale wanaojiita wazalendo hakuna uzalendo kwenye nzalaSawa ila pesa za kujikimu watu wawe wavumilivu labda shule zikifunguliwa
Rangi zipi mkuuu acha utoto kwenye inshu za msingi, unafikiri kila mtu analala sebuleni we endelea kulala sebuleni kwa shemeji yakosomeni vizuri kwenye hizo rangi ili tusaidiane kushangaa wadau!! ni simba na yanga
Bahati nzuri unajua lkn mimi nipo songea mwaka 9 peramiho never undermine.Mult task mkuu na ndio kazi yetu kusema kwa ajili wengine unashangaa mimi kuposti hiyo application, Njooo hospitali ya mkoa utanikutaa au maeneo ya Ruhico kambini utanikuta
Usijifanye Mjanja wewe Kijana wa Kigoma, punguza kuweka habari za Mwajiri wako Mitandaoni.
Umepata ajira yako punguza kiherehere vinginevyo utakuja kusutwa mchana na ukaishia kuliwa kichwa.
Kwahiyo !?Vp unaukumbuka huu uzi wako wakati ukitafuta ajira?
Jamani naombeni msaada wa haraka sijasubmit maombi yangu ya otes
Jamani msaada nimefanya maombi ya ajira za ualimu mpaka nikafika kwenye kipengele cha submit siku submit lakini appliction inanambia iko completed sasa kwa mwenye uzoefu anisaidie mambi yangu yataondkana kwenye syste au laa au niwapigie simu. Pia naomba msaaada jinsi ya kujaza index no ya form...www.jamiiforums.com
Ahhhh umekuja?! Nilikuwa nakutafutaYaan hata Mwezi haujaisha tayari mshaanza kulalamika,subirini Basi mtapatiwa tu stahiki zenu ,wanawajali sana ndomaana mkapatiwa ajira
Kama hawatoiYani kupata MTU unae mdai pesa ya kujikimu unataka hadi wana JF wajue kuwa unadai pesa ya kujikimu.
Kweli umasikini uliopitiliza unaondoa akili ya kufikiri. Hawa ndio walimu tunaotegemea watufundishie watoto wetu, mtu kaajiliwa juzi leo namshtaki mwajiri wake mtandaoni. Stupid