Walimu wapya walioripoti makazini Halmashauri ya Mbinga wahenyeshwa

someni vizuri kwenye hizo rangi ili tusaidiane kushangaa wadau!! ni simba na yanga
Rangi zipi mkuuu acha utoto kwenye inshu za msingi, unafikiri kila mtu analala sebuleni we endelea kulala sebuleni kwa shemeji yako
 
Bahati nzuri unajua lkn mimi nipo songea mwaka 9 peramiho never undermine.Mult task mkuu na ndio kazi yetu kusema kwa ajili wengine unashangaa mimi kuposti hiyo application, Njooo hospitali ya mkoa utanikutaa au maeneo ya Ruhico kambini utanikuta
 
Kama hawatoi
 
Wengi wa wasomi wa nchi hii ni kama wajinga wengine tu, tuwavumilie.

Mi-5 Tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…