CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Wakati jana raisi akitangaza nyongeza ya mshahara kuna idadi kubwa ya walimu wapya walioajiriwa aprili ambao hawajapata mshahara mfano h/mashauri ya kilindi ni walimu wapya 15 tu walioingiziwa mshahara...halmashauri zingine ni watu 10~30 waliopata mshahara..Sasa CWT inafanya nini? na inavyoonyesha ni jambo la makusudi limefanyika maana wale wa degree wengi wamepata mshahara..jamani serikali iache utani hivi umpange mtu porini halafu usimpe mshahara unategemea aishije??