Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Kamuulize prof mkenda.Hivi Ualimu nao unahitaji connection???
Moja ya sababu za kuanzishwa usaili kwenye hiyo kada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize prof mkenda.Hivi Ualimu nao unahitaji connection???
Hivi mbona walimu wanadharaulika, wakati mwalimu wa bachelor anawazidi mishahara, nesi wa diploma,nesi wa certificate, CO, dentist diploma, Mionzi diploma, Biomedical,watendaji, mapolisi etc,, Sasa why dharauHivi Ualimu nao unahitaji connection?
Sio dharau, kwani sio kazi za wito tena siku hizi??Hivi mbona walimu wanadharaulika, wakati mwalimu wa bachelor anawazidi mishahara, nesi wa diploma,nesi wa certificate, CO, dentist diploma, Mionzi diploma, Biomedical,watendaji, mapolisi etc,, Sasa why dharau
Ata uraisi ni witooo,,ndo maan Trump hachukui mshaharaSio dharau, kwani sio kazi za wito tena siku hizi??
Eti kunajamaa humu forum anasema ako na connection lakini hiyo connection inamuambia afaulu mtihani.sasa connection na kufaulu wapi na wapi ukiwa na connection inabidi hata kama umefeli upiteAta uraisi ni witooo,,ndo maan Trump hachukui mshahara
Asaiv watu wamekua matapeli unakula hela na kazi hupati. Wameona watu wako na shida ya kazi basiii wanapata ulaji wengi wanasema nipe laki tanoEti kunajamaa humu forum anasema ako na connection lakini hiyo connection inamuambia afaulu mtihani.sasa connection na kufaulu wapi na wapi ukiwa na connection inabidi hata kama umefeli upite
We masomo Gani chiefAsaiv watu wamekua matapeli unakula hela na kazi hupati. Wameona watu wako na shida ya kazi basiii wanapata ulaji wengi wanasema nipe laki tano
Chemistry na biosWe masomo Gani chief
We husiwe na pressure,utapata science wanaitajika mnoo, ulimaliza mwaka Gani?Chemistry na bios
Asiwe na pressure kwenye kemia na bios hao wapo kama kumbikumbi SAWA na WA art's TU.We husiwe na pressure,utapata science wanaitajika mnoo, ulimaliza mwaka Gani?
Kila sehemu ushindani upo ndo maana mpaka Sasa 70% ya walimu wa hesabu wa 2019 wapo kitaaaaAsiwe na pressure kwenye kemia na bios hao wapo kama kumbikumbi SAWA na WA art's TU.
Phy, math,bookkeeping, commerce, fine art, agriculture, nutrition, lab tech.
Awa at least ni suala la muda nchi upepo upon juu yao mwaka ni wao tu kumega keki ya hii nchi.
Masomo mengine tafuteni connection za waganga ushindani wake ni mkubwa sana zaidi ya maelezo
At least hesabu ndugu ndio mana hayo masomo niliyokutajia. Wameitwa oral direct Awana mchujoKila sehemu ushindani upo ndo maana mpaka Sasa 70% ya walimu wa hesabu wa 2019 wapo kitaaaa
Nikweli mkuuAt least hesabu ndugu ndio mana hayo masomo niliyokutajia. Wameitwa oral direct Awana mchujo
Tako lako weweHao ni tofauti na zenu mkuu! Muwe mnafuatilia matangazo ya ajira sio kukesha mitandaoni walimu wanaajiriwa kila muda na wanafanyiwa usaili utumishi na wanapangiwa vituo vya kazi! Usikariri mkuu
Wewe hufai hata kuwa mtumishi wa Umma.Rejea kichwa Cha habari hapo juu
Kuna rafiki zangu wamrepoti kazini kimya kimya katika zile ajira 12000 zilizotangazwa ..
Mpka sshv zile ajira zilikuwa magumashi tu ..
Serikali ya Samia bila connection sasahivi hautoboi hasa watoto wa masikini
😁😁😁😁Tako lako wewe
Kichwa yako si nzuriRejea kichwa Cha habari hapo juu
Kuna rafiki zangu wamrepoti kazini kimya kimya katika zile ajira 12000 zilizotangazwa ..
Mpka sshv zile ajira zilikuwa magumashi tu ..
Serikali ya Samia bila connection sasahivi hautoboi hasa watoto wa masikini
AchachanganyikiwaaKichwa yako si nzuri
Kichwa yako si nzuri
Kamba hiiKwahy wale walioreport ni uongo??aiseee nna ushaidi wa watu karb 30 wameshapagiwa vitu vya kazi
Huyo muongoo tuKamba hii