Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unaendelea kuleta siasa kwenye mambo ya msingi.
 
Unaendelea kuleta siasa kwenye mambo ya msingi.
relax gentleman,
ushabiki wako wa kisiasa usituletee kwenye mambo yanayohatarisha viwango vya elimu yatu kama Taifa,


Gentleman,
huna sifa, vigezo na viwango vya kuidhinishwa katika ufundishaji, tafuta mambo mengine ya kufanya, fujo haziwezi kusaidia 🐒
 
relax gentleman,
ushabiki wako wa kisiasa usituletee kwenye mambo yanayohatarisha viwango vya elimu yatu kama Taifa,


Gentleman,
huna sifa, vigezo na viwango vya kuidhinishwa katika ufundishaji, tafuta mambo mengine ya kufanya, fujo haziwezi kusaidia 🐒
Kwa kuwa elimu yao walienda kuitafutia kenya sio?
 
Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Aisee umeleeweka!
Unataka kusema nini juu ya vyuo vinavyowapika hao waalimu?
Na hao madaktari ambao wanasotea ajira na kada zingine ni sababu hiyo hiyo au kuna nyingine?
 
Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Naona Chawa wa Watawala mmeamua kuanzisha Vita dhidi ya Walimu wa NETO kwa kuwafanyia Characters Assassination and Smear Campaign.
 
Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mmeanza kuwa tuka a sasa! Majority ya walimu ni failures wa o level au a level thus they are all the same na hao walio ajiriwa
 
Aisee umeleeweka!
Unataka kusema kusema nini juu ya vyuo vinavyowapika hao waalimu?
Na hao madaktari ambao wanasotea ajira na kada zingine ni sababu hiyo hiyo au kuna nyingine?
Gentleman,
ukisoma sheria huwezi kua wakili mpaka uthibitishwe kwamba unakidhi vigezo na viwango tajika kuidhinishwa kua wakili, pamoja na taaluma nyingine,

haina maana kwamba ukisoma udaktari ni Lazima uwe daktari,
madaktari wengi hivi sasa ni wakurugenzi wa halmashauri nchini kazi ambayo ni tofaut kabisaa na taaluma zao.

walimu wasio na sifa stahiki na vigezo muhimu vya kufundisha, wasipewe fursa hiyo kwasabb watashusha viwango vya elimu nchini 🐒
 
Naona Chawa wa Watawala mmeamua kuanzisha Vita dhidi ya Walimu wa NETO kwa kuwafanyia Characters Assassination and Smear Campaign.
ikiwa huna sifa na vigezo muhimu vinavyohusiana na ufundishaji wa viwango tajika, huna sababu ya kuleta fujo gentleman,

tafuta kazi nyingine,
hatuwezi kukuruhusu kushusha viwango vya elimu nchini 🐒
 
Naona Chawa wa Watawala mmeamua kuanzisha Vita dhidi ya Walimu wa NETO kwa kuwafanyia Characters Assassination and Smear Campaign.
Mpumbavu huyo.
Angeandika kitu kingine kuliko kuleta uchawa kwenye vitu vinavyowahusu vijana tunaowaona wakihangaikia ajira.
Kwanza hajui maana ya ku fail . Tunakutana na vijana wa kada tofauti wenye GPA nzuri tu na hawana kazi.
 
Hamna mwenye akili ana waentertain. Ndio maana unaona kila kukicha wanakamatwa kama lbl. Hapa tupo tunatengeneza zengwe tuwaweke kesi za wizi na uhujumu uchumi na zile za kutukana mamlaka. Sio siku hutosikia neto tena. Don't worry. Waache wakusanywe taratibu. Hawawezi tusumbua.
Naona wameanza kujiunga na chadema.
Nilisema mimi vijana wanakosea sana harakati za kudai maisha bora na kejeli kwa nchi. Ni vitu viwili tofauti. Tanzania's aren't prone kufanya harakati za uchochezi tuko proned kutoa maoni yafike sehemu husika.
 
Gentleman,
ukisoma sheria huwezi kua wakili mpaka uthibitishwe kwamba unakidhi vigezo na viwango tajika kuidhinishwa kua wakili, pamoja na taaluma nyingine,

haina maana kwamba ukisoma udaktari ni Lazima uwe daktari,
madaktari wengi hivi sasa ni wakurugenzi wa halmashauri nchini kazi ambayo ni tofaut kabisaa na taaluma zao.

walimu wasio na sifa stahiki na vigezo muhimu vya kufundisha, wasipewe fursa hiyo kwasabb watashusha viwango vya elimu nchini 🐒
Ndio maana tunasema unaandika usichokijua.
Usilete maswala ya siasa kwenye taaluma.
 
Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kila siku nakwambia uwe unasoma ili kuondoa huu ujinga unao andika hapa kila siku.
Ivi sifa za kuajiriwa Kwa kwa walimu TZ ni GPA ya ngapi? According to standing orders
 
Mpumbavu huyo.
Angeandika kitu kingine kuliko kuleta uchawa kwenye vitu vinavyowahusu vijana tunaowaona wakihangaikia ajira.
Kwanza hajui maana ya ku fail . Tunakutana na vijana wa kada tofauti wenye GPA nzuri tu na hawana kazi.
gentleman,
acha panic,
Prove me wrong kwamba hao jamaa wana sifa na vigezo vya ufundishaji.

acha kumbwelambwela kwa mihemko,
ajira za uhakika na za kutosha shambani kwa vijana wote hadi wenye GPA ya 5 kama mimi 🐒
 
Kichaa akiwa hatoki kwako anachekesha sana.
 
Yaani
Wengi wao wana ufaulu wa chini mno, huku wengine wakiwa wamefeli kabisaa kufikia viwango vinavyoendana na mahitaji ya ufaulu katika kada ya ualimu.

Hawana sifa, vigezo wala viwango vya kuidhinishwa kua walimu. NETO ikiwa intertained ni hatari kwa ustawi na ubora wa elimu na taaluma kwa Taifa letu.

Wenye kukidhi vigezo na viwango tajika waendelee kupewa fursa na nafasi ya kufundisha ili hatimae viwango vya elimu katika taifa letu viendelee kuimarika.

Kwa ambao hawana sifa na viwango vya ufundishaji, ni muhimu wakasaidiwa ili kusudi wakajikite kwenye kilimo, ufugaji au biashara na maeneo mengine ya kisekta yenye ajira za uhakika na za kutosha kama kama sekta hizo.

Kujihusisha kwao na magenge ya khalifu au kushiriki kuanzisha vitendo vya uvunjifu wa amani na uchochezi kutawafanya kuishia pabaya tu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania


Wewe lazima una matatizo si bure
 
ikiwa huna sifa na vigezo muhimu vinavyohusiana na ufundishaji wa viwango tajika, huna sababu ya kuleta fujo gentleman,

tafuta kazi nyingine,
hatuwezi kukuruhusu kushusha viwango vya elimu nchini 🐒
Machawa kwenye ubora wenu bado Lukas maralia2 nae hajaja kutoka uharo wake hii ndoano mmemeza shupazeni shingo muone kitakacho jili
 
Back
Top Bottom