DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Usaili lazima kitonga hamna kama ulikuwa unazuga chuo unajifanya ww ni mzee kusomea kwenye mdegree library huijui ndio utaona moto sasa mnakandwa walimu kelele nyingiiii mtazoea tu.... Hii inaleta hata heshima uliowakuta kazini hawawezi kukudharau.
 
Watoke nje ya Tanzania, waende Botswana au hata nyingine soko la ajira ni kubwa Sana kwa upande wa walimu.
Ungeweka mbele facts zako na namna wanaenda huko...siliza clips zao kuhusu ugumu wa kupata hata Hela ya kula...wewe umevuka au kuvushwa mto..basi unaamini ni genius na wao vilaza..tafakari mtanzania wewe .
 
Ungeweka mbele facts zako na namna wanaenda huko...siliza clips zao kuhusu ugumu wa kupata hata Hela ya kula...wewe umevuka au kuvushwa mto..basi unaamini ni genius na wao vilaza..tafakari mtanzania wewe .
hivi akianzisha tution hapati pesa mtu ujuzi anao anasubiri ajira za serikali
 
Walimu tulieni ni wakati wa Kila mmoja kuchanganyikiwa kwahyo tulizeni vichwa vyenu mnyolewe kipara maana nyie na polisi ndo mnaongoza kutumika vibaya na watawala wa nchi hii
 
Back
Top Bottom