Usaili lazima kitonga hamna kama ulikuwa unazuga chuo unajifanya ww ni mzee kusomea kwenye mdegree library huijui ndio utaona moto sasa mnakandwa walimu kelele nyingiiii mtazoea tu.... Hii inaleta hata heshima uliowakuta kazini hawawezi kukudharau.
Ungeweka mbele facts zako na namna wanaenda huko...siliza clips zao kuhusu ugumu wa kupata hata Hela ya kula...wewe umevuka au kuvushwa mto..basi unaamini ni genius na wao vilaza..tafakari mtanzania wewe .
Ungeweka mbele facts zako na namna wanaenda huko...siliza clips zao kuhusu ugumu wa kupata hata Hela ya kula...wewe umevuka au kuvushwa mto..basi unaamini ni genius na wao vilaza..tafakari mtanzania wewe .
Walimu tulieni ni wakati wa Kila mmoja kuchanganyikiwa kwahyo tulizeni vichwa vyenu mnyolewe kipara maana nyie na polisi ndo mnaongoza kutumika vibaya na watawala wa nchi hii