wamogori
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 888
- 339
Hebu waeleze walimu kazi mbili tu...! zinazofanywa na cwt kwa faida yao. Maana unaweza kuwa unaongea tu ki-mbumbumbu huna chochote unachokijua kuhusu cwt. Waeleze walimu sasa manufaa wanayopata kutokana na cwt...!
Au una chuki binafsi na CCM maana nimeshindwa kuelewa CCM imeingiaje kwenye hii thread.
Mkuu tatizo la wengi ni kuchukia kitu wasichokifahamu. hii inatokana na uvivu wa kufikiri na kusubiri mwingine afikirie ndio wao wafuate. chuki zake na ccm anahusisha na mambo yasiyoingiliana, yaani kila hoja hawezi kuijadili bila kutaja vyama tena ccm ktk mtizamo hasi.