Annie Josh
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 184
- 67
Ushauri wako ni nini katika hili?assesment haina kabisa uhusiano na interview unapoajiliwa,hiyo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa shule na hakuna anaefeli assesment,alafu assesment inafanyika kwenye field ambapo hata kozi zingine zote wanafanyiwa na bado wakienda kuajiliwa lazima wafanyiwe usaili ila walimu hawafanyiwi