Walimu zaidi ya 10000 kukosa ajira

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,430
Reaction score
3,547
Mwaka jana serikali iliajiri walimu 36,000 mwaka huu serikali inaajiri walimu 34,000 kati yao 10000 ni lab technician ambao kipindi cha nyuma walikuwa hawapo kwenye ajira za 36,000. my concern endapo idadi ya walimu wanaohitimu ni ileile au imezidi kidogo (kitu ninachoamini) basi zaidi ya walimu 10k watakosa ajira hasa wa masomo ya arts wale wa degree

I stand to be corrected!
 
acha upotoshaji lab technician sio waalimu na hawajawahi ajiriwa pamoja na waalimu isitoshe waweza pitia tovuti ya utumishi utakutana na matangazo ya ajira wakiwemo hao matechnicians. so ieleweke hivyo
 
acha upotoshaji lab technician sio waalimu na hawajawahi ajiriwa pamoja na waalimu isitoshe waweza pitia tovuti ya utumishi utakutana na matangazo ya ajira wakiwemo hao matechnicians. so ieleweke hivyo

Kwa hiyo wewe unapingana na tamisemi? Iwapo tamisemi imetoa tamko hilo ww ni nani wa kukanusha?.kama haupo up to date sio lazima u comment Mkuu
 
acha upotoshaji lab technician sio waalimu na hawajawahi ajiriwa pamoja na waalimu isitoshe waweza pitia tovuti ya utumishi utakutana na matangazo ya ajira wakiwemo hao matechnicians. so ieleweke hivyo

Jaman walimu wa mwaka huu kazi mnayo, maana kila mtu anakuja na script yake na hiyo sinema waalimu wanakuwa soft kuicheza. Ninachowashauri hata mtu akija akasema walimu 20,000 watakosa ajira nyie sehemi ahsante mkuu kwa taarifa. Halafu muisubiri Tamisemi.
 
Kwa hiyo wewe unapingana na tamisemi? Iwapo tamisemi imetoa tamko hilo ww ni nani wa kukanusha?.kama haupo up to date sio lazima u comment Mkuu

Kwa hiyo are you sure na unatuhakikishia idadi hiyo ya walimu watakosa ajira? Kwa sababu iliyotolewa?
 
''Tayari tumepeleka maombi ya 'zaidi' ya walimu 30,000' kule utumishi na wakati wowote tunasubiri kibali hicho kutoka. (Kassim Mjaliwa, W-Tamisemi). Hapo ndio mnapochangaya watu takwimu zako sijui zimezingatia tamko hili la waziri?

Nashauri tusubiri serikali itangaze hayo majina mtu ndio ajue ameajiriwa au la? Ila sijaona logic ya thread yako na takwimu zako ni za kufikirika zaidi.
 
Iweje tena walimu 10,000 Wakose ajira? nina wasi wasi na umakini wako, hivyo pia nina wasiawasi na ulichokiandika.
 

Mkuu niliwah kutoa hoja kama hii, nikabezwa xanaa ooh takwimu sio za kisomii,, oooh acha wivu,, usemalo laweza kutokea bt tutaamin hv punde wakitoa majina,,
 
Mkuu niliwah kutoa hoja kama hii, nikabezwa xanaa ooh takwimu sio za kisomii,, oooh acha wivu,, usemalo laweza kutokea bt tutaamin hv punde wakitoa majina,,
Leave them alone, kwani wakiajiriwa au wasipo ajiriwa wewe unapata nini while it is non of your business?
 
Leave them alone, kwani wakiajiriwa au wasipo ajiriwa wewe unapata nini while it is non of your business?

Umemjibu vizuri sana mkuu, maana yeye anasubiri kwa hamu watu kukosa na sio kusubiri watu wapate, So bad 4 ppo lk him who hav stagnant thoughts!!
 
Leave them alone, kwani wakiajiriwa au wasipo ajiriwa wewe unapata nini while it is non of your business?

viloba vya asubuhi ndo matatzo yake haya!.. Umelazimishwa kucomment kama huna hoja pita kushoto, and who are you to stop me!,.
 
acha upotoshaji lab technician sio waalimu na hawajawahi ajiriwa pamoja na waalimu isitoshe waweza pitia tovuti ya utumishi utakutana na matangazo ya ajira wakiwemo hao matechnicians. so ieleweke hivyo

Mkuu umesoma kwanza gazeti la mwananchi tamisemi imeomba kibali cha ajira 34,000 kati ya hizo 10,000 ni lab technician manake walimu walimu halisi ni 24,000 tofauti na mwaka jana wote 36,000 walikuwa walimu tu hujui hesabu za kutoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…