Walinzi wa kampuni ya SUMA JKT GUARD wana matatizo ya kisaikolojia

Walinzi wa kampuni ya SUMA JKT GUARD wana matatizo ya kisaikolojia

Huwezi kuamini. Suma jkt guard kuna vijana wasomi wazuri tu.
Suma ya miezi hii sio ile Suma ya wakati wanaanza kuchukua tenda za malindo ya kwenye taasisi. Wale wa mwanzo walikua ni wakali sana halafu uelewa wa mambo ulikua ni mdogo sana.

Vijana wenzangu wa Suma JKT guard msikate tamaa ya maisha. Wote hamuwezi kuwa polisi, magereza au JW. Tumieni kipato kidogo mnachopata kujiendeleza kwa fani mbalimbali za stadi za maisha lakini kupata mitaji.

Wengi wenu bado ni vijana wadogo. Nawasihi muache umalaya sio mzuri, kuna ukimwi na homa ya ini. Kuweni makini sana vinginevyo mtakwisha.

Umenena vyema sana Mkuu. Madogo wakipita hapa watapata kitu.
 
Noma.., ila hapo bi mkubwa kulia umenikumbusha last year nilikataa kwenda jkt basi ukoo mzima ulinipigia simu kunisihi. Wazazi wetu wanakua na imani sana kwamba jkt ni pazuri kumbe jau
Ulikaa miaka mingapi mkuu?
miaka mitatu mkuu kwa mateso makali mno
 
180000/= take home!!! yani nkiishika machine huku nikawa ninamsaidizi nkaingia pori nkadondoshaa mbao wiki 2 nachana mbao c chini ya 600 za nchi 2/6 hapa kuna sehem naziuza directly UBAO 6500 kwa mbao 600=3,900,000tsh toa 900000 kama pesa ya mtaji na usafiri 3000000 kwa 2wiki....hafu uje uniajiri unipe 180000 kwa mwezi kwa akili zipi hizo wakuuu.
 
Umenikumbusha juzi kati kuna mmoja wao alitumia faru john ikamzid akaanza kutamba kwamba wao wanafundishwa kumaliza mchez sio kupiga kuna binti mmoja akamfanyia fujo kumbe huyo binti bwana wake mgambo nilishudia akichwapwa makofi kama mtoto mpaka Leo kupita kijiwen anaona aibu nilijarb kumuuliza kwann mjeda kabisa anapigwa na mgambo akadai askar kwa askar hawapigan
 
Watu wa wanapenda sana kusukumizia stress zao kwa watu wengine kana kwamba wao hawana changamoto za kisaikolojia.

Inashangaza hakuna hata mmoja kama wapo basi hawafiki watano waliopost kitu positive kuwahusu hawa SUMA guards.
Nao ni bainadamu kama wengine na wanajaribu kujitoa kwenye changamoto waliyoiingia.
Wanafikia htua mpaka wanaua raia halaf unataka tuwasifie mkuu??
 
Huwezi kuamini. Suma jkt guard kuna vijana wasomi wazuri tu.
Suma ya miezi hii sio ile Suma ya wakati wanaanza kuchukua tenda za malindo ya kwenye taasisi. Wale wa mwanzo walikua ni wakali sana halafu uelewa wa mambo ulikua ni mdogo sana.

Vijana wenzangu wa Suma JKT guard msikate tamaa ya maisha. Wote hamuwezi kuwa polisi, magereza au JW. Tumieni kipato kidogo mnachopata kujiendeleza kwa fani mbalimbali za stadi za maisha lakini kupata mitaji.

Wengi wenu bado ni vijana wadogo. Nawasihi muache umalaya sio mzuri, kuna ukimwi na homa ya ini. Kuweni makini sana vinginevyo mtakwisha.

Kweli kabisa, nina jamaa zangu degree-holder wapo huko huwa najiuliza ni wamezichanga vibaya karata zao au ndio life halina formula???
 
SITOSAHAU JKT MKATABA ULIVYOISHA NA TUKALUDISHWA NYUMBANI-- "OP MAGUFULI"

ilikuwa ni mwaka 2016 naelekea kikosi cha mafunzo ya jkt kwenye gali unapiga mwimbo wa darasa -muziki... kozi ikaanza na hatimaye ikamalizika miezi 6 baadaye nkawa service man kikosi furani nyanda za kaskazini kuishi kwa taabu na mawazo ya lini ntapata ajira nkijitazama sina kitu chochote wala home sikuacha chochote ata kuku m1 wa kienyeji....

Miaka mitatu inakata tunasikia tetesi za tarehe furani tunaludi home wenzangu wakawa wanatoloka wanaludi makwao kupambana na vitu.vingine kabla kipenga rasmi hakijaliaa mimi npo nacheki mambo mpaka tone la mwisho hatimaye tukaambiwa tukusanye kila mali ya jeshi haraka iwezekanavyo hapa ni kombati,sahani,kikombe ,kofia na mkanda kama unao

Wasichana wakaanza kulia vilio c vya nchi hiii wanaenda wapi kukaa warudi tena home kukaa wengi hawakurudi mimi nkasema narudi kupambana kitaani kwetu na ntakaa home mpaka nipate mtaji hapa ndo MOVIE inapoanzaa.
Ni kweli kabisa usemayo,nakumbuka kuna pale Jkt mgulani nilikuwa nasomea udereva,kipindi nasoma nikakuta baadhi ya vijana muda wao wa kuondoka unakaribia ili waje wengine sasa kukawa na sintofahamu wengine baadhi watachukuliwa baadhi wataachwa,siku mbili mbele nikaona wanaambiwa wakachukue vyeti vyao vya service man ili kurudi zao nyumbani,wengi wao walikuwa wanalia wenye roho nyepesi wanaondoka muda huohuo ila wengineo ndio ivyo wanalia na kusikitika,utakuta mtu wakati anatoka kwao aliwaaga wenzake wakijua anaenda kuajiriwa kumbe ajira hakuna na akija kukumbuka wale aliowaacha kitaa maujuzi yao yeye anarudi tu home hana kitu....ila inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom