Uchaguzi 2020 Walinzi wa karibu wa Mbowe wajiunga CCM, mmoja awa mgombea Udiwani

Mlinzi ni mtumishi si mwanachama, analipwa mshahara, mlinzi si ajira ya kudumu. Mleta mada tueleze nini unataka kutuambia, kuwa wamekimbia chama? Hapana labda tu kama hujui ajira ni nini.
 
Mkuu tatizo sio kwamba mambo yanaendelea, tatizo ni kwann wanaondoka tena wengine hata bila kufukuzwa uanachama, hauoni hiyo Kama ni kasoro kubwa sana?
Mlinzi si mwanachama ni mwajiriwa hana kadi ya uanachama vinginevyo asingekuwa analipwa mshahara. Mchezaji mpira wa klabu si mwanachama ni mwajiriwa.
Uwezo wetu wa kifikiri ni mdogo kwa sababu tunajikita kwenye ushabiki wa kijimga.
 
Unajifariji.
 
MaCCM akili zenu azina akili kabisa, mnahangaika mno na Mbowe.
Yaani hapo jamaa kawatoa na pesa kisa tu alikua mlinzi wa Mbowe. Mmekwama MATAGA, mnashindwa hata kuelewa kua ulizi ni kazi tu ya mkataba.
 
Mkuu, mm sikuchangia kishabiki, ila nilichangia mada kwa kina na kwa mapana yake, Nina hakika kabisa hukutafakiri kwa kina kabla ya kuandika hii post yako, ulichokiandika hapa hakina logic, je akina kubenea ambao Wameondoka juzi tu na mwenyewe alikuwa mwajiriwa??
Mlinzi si mwanachama ni mwajiriwa hana kadi ya uanachama vinginevyo asingekuwa analipwa mshahara. Mchezaji mpira wa klabu si mwanachama ni mwajiriwa.
Uwezo wetu wa kifikiri ni mdogo kwa sababu tunajikita kwenye ushabiki wa kijimga.
 
Kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki CCM chaliiii
 
Samahani sikujua kuwa wakina Kubenea walikuwa walinzi wa Mbowe, kumbe wabunge wote wa Chadema ni walinzi! And this is JF of GT's!
 
Nafukua Kaburi.. Kuna walinzi waliotekwa Usiku hotelini. Kisha Kuna kina Lingwenya na Adamoo waliotekwa Rau mchana. Halafu Kuna Hawa waliohania CCM Mara baada ya wenzao Kutekwa!
 
Uzi kama huu unaonesha ni namna gani walinzi wa Mbowe au watu wake wa karibu wanavyofuatiliwa kwa nia ovu na kundi la wahuni wa CCM.
 
Ccm bhana! Yaani hawaoni kazi kutumia kiasi chochote kile cha fedha kwa lengo moja tu la kuendelea kubakia madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…