Walinzi wa Rais wa Kenya walivyokufa kirahisi

Kwann ajari hiyo itokee? Hapo ndipo penye kauzembe, si kwa wao kufa baada ya ajari kutokea.
 
The OP must be a juvenile or someone who thinks there are people who are superhumans. When did death become preventable, if it was would the sternest of dictators have succumbed to ordinary ailments? Would presidents have died in plane crashes when planes can be fitted with chutes? No matter what measures are put in place, show me the superhumans who have gone through balls of fire.
 
Sasa naelewa kwanini pale mwanzoni, 'maji maji rebellion' waliamini wakipigwa risasi, zitageuka Na kuwa maji... Naona hadi Leo wengine bado wanaamini hivyo
 
Wakenya ni mayai mayai tu ila midomoni kuongea hawajambo!!!
 
Acha mbwembwe mtoa roho hatishwi na kulalia misumari wala kupasua tofali kwa kichwa.
 

Tema mate chini; maswala ya kifo na ajali hayana ufundi wala maandilizi.
 
unakuta na huyo analalamikia mapenzi!!
suala la ukomando na mbele ya kufa lisikupe shaka amekufaa ADOLF HITLER akina musolini huko ARAN KOTER MANI MURAL OMARY (CHONGO). mbele ya kifo hakuna ukomando pia lisikupe shida suala kukalia au kulalia misumari hizo ni mechanism ya presure ......kukiwa na area kubwa basi presure inakuwa ndogo so kukalia misumari mingi kwa level moja ni sawa na kukalia godoro la dodoma KWANIN HAKUKALIA MSUMARI MMOJA AU MIWILI AREA ingekuwa ndogo presure ingekuwa kubwa ingemtoboa .......
presure is invesly propotional to then area ..at containly the force of the body ...kukalia misumari SIO UKOMANDO MWEUU WEW
 
duh! basi si haba nimekuwa na mwehu kabisa
 
Suala ni kwamba wamekufa kipumbavu usilete utetezi wa kijinga hapa.
 
Ushaambiwa chanzo cha ajali ni tairi kupasuka, so hapo kuna uzembe gani?
Gari ya ikulu tair inapasukaje? Au ndo kubana matumiz, afu mlinzi anafia kwenye steering madereva wa mabasi yaliyochoka huku kwetu kijijini tairi zinapasuka Na abiria wanakufa lkn unaambiwa dereva kakimbia kapitia wapi Na mafunzo Hana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…