Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

Nsoji go Nvaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
999
Reaction score
1,948
Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
 
Msafara wa rais wa liberia umesimama kwa mda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC sintofahamu hio imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokua wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anaebebaga kibegi .imebidi matangazo yakatwe kwa mda
Mbinu za kiulinzi hizo unafikiri hakukuwa na taarifa za protocol?
 
Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
Ukiwa kama mzalendo ungeenda pale kuwamua huo ugomvi. Ungewapiga kichwa kimoja hao wanausalama kisha uwaweke pembeni halafu ungeng'oa hiyo bendera kwenye hiyo gari kisha uruhusu huyo raisi apite huku ukimpungia mkono
 
Ukiwa kama mzalendo ungeenda pale kuwamua huo ugomvi. Ungewapiga kichwa kimoja hao wanausalama kisha uwaweke pembeni halafu ungeng'oa hiyo bendera kwenye hiyo gari kisha uruhusu huyo raisi apite huku ukimpungia mkono
Punguza bangi
 
Back
Top Bottom