Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Mbinu za kiulinzi hizo unafikiri hakukuwa na taarifa za protocol?Msafara wa rais wa liberia umesimama kwa mda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC sintofahamu hio imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokua wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anaebebaga kibegi .imebidi matangazo yakatwe kwa mda
Angalia tibisiii wani.Picha iko wap sasa
This is AfricaMsafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
Unatype na vidole au Google Voice...usitumpumzikie π€£π€£Rais wa Liberia ndio amewasili leo!
Nilikua namsubiri sana nina mazungumzo naeπ
Tukio la ghafla kila mtu alishikwa na butwaa .afu sehem zingine utaanzaje kupiga picha hata kama nipo eneo la tukioPicha iko wap sasa
Nsogi go nvaa? Mashii gakooTukio la ghafla kila mtu alishikwa na butwaa .afu sehem zingine utaanzaje kupiga picha hata kama nipo eneo la tukio
Ukiwa kama mzalendo ungeenda pale kuwamua huo ugomvi. Ungewapiga kichwa kimoja hao wanausalama kisha uwaweke pembeni halafu ungeng'oa hiyo bendera kwenye hiyo gari kisha uruhusu huyo raisi apite huku ukimpungia mkonoMsafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
PichaMsafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
πππRais wa Liberia ndio amewasili leo!
Nilikua namsubiri sana nina mazungumzo naeπ
Siyo dharau, kawaida sana. Hata Ulaya huwa inatokea.Ila hii nchi inadhauliwa sana aisee....π€¨
Punguza bangiUkiwa kama mzalendo ungeenda pale kuwamua huo ugomvi. Ungewapiga kichwa kimoja hao wanausalama kisha uwaweke pembeni halafu ungeng'oa hiyo bendera kwenye hiyo gari kisha uruhusu huyo raisi apite huku ukimpungia mkono