Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Amenena vyema ila hajajibu swali langu la ubora wa walinzi wetu
Mkuu Ubora wa kitu chochote unapimwa kutokana na vitu vitatu

1 Performance
2 Stability
3 Nature

Kazi ya TISS ni ulinzi wa viongozi je nikuulize swali ulishawai kusikia kiongozi ambaye yuko under TISS protection amepata madhara ?
kama ujawai kusikia kwanini upate wasiwasi na weledi wa kazi wanazofanya??

Ngamanya Kitangalala
 
Mkuu Ubora wa kitu chochote unapimwa kutokana na vitu vitatu

1 Performance
2 Stability
3 Nature

Kazi ya TISS ni ulinzi wa viongozi je nikuulize swali ulishawai kusikia kiongozi ambaye yuko under TISS protection amepata madhara ?
kama ujawai kusikia kwanini upate wasiwasi na weledi wa kazi wanazofanya??

Ngamanya Kitangalala
Anauliza ile ya mzee mwinyi alivyonyukwa kibao
 
Vigezo vya ulinziinaonekawa viongozi au VIP protection huwa vinafanana na vinakuja kutofautiana kwenye Technology na protection clearance level kwa viongozi, clearance level kubwa kabisa ya kidunia ni 5 pia ulinzi wa viongozi unategemea na maeneo ambayo kiongozi yupo, threat zinazoweza kujitokeza kwa mazingira ambayo kiongozi yupo ,pia hali ya usalama wa nchi husika mfano ulinzi wa viongozi wa nchi za mashariki ya kati ni tofauti na ulinzi wa viongozi wetu mfano huku kwetu wanaobeba silaha za kuonekana kabisa ni FFU, lakini wale wavaa suti wanabeba lakini zinakuwa zimejificha lakini ukienda baadhi ya nchi wote wanabeba tena wengine mpaka machine gun
Vigezo huwa ni 6 kwa level ya kidunia hata vyuo vingi dunian vya mafunzo ya VIP protection wanafundisha lakini kuna nchi wanaviongeza mpaka 10 ila US yeye anavyo mpaka 15 na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za nchi na Technology wao wanatumia presidential protection clearance level zote 5 kwa wakati mmoja na kumfanya rais wa US kuwa mwanadamu wenye ulinzi mkubwa duniani tofauti na viongozi wengine wanaotumia level of clearance kuanzia 2 - 4 na hii wanafanya wamarekani kutokana na rasilimali fedha na rasilimali technology waliyonayo mfano ndege ya Air force pekee kukaa angani ni $228,000 per hour to fly. na ziko ndege mbili zinafatana kila sehemu trip moja ya rais US inakadiliwa kuwa ni kati ya dola 15 - 20 milion kwa trip moja na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za fedha na technology pia US ndo nchi pekee ambayo kiongozi wake anatembea na vifaa vyake vyote bajeti tu ya ulinzi wa rais na makamu wake kwa mwaka ni $1.4 billion.
Mtu yeyote mwenye kazi hii ni lazima kuwa fit physical & mental pia wanasema kuwa angalau uwe na elimu ya chuo na wanapendekeza kuanzia GPA ya kuanzia 3.5 na kuendelea kwani matumizi ya mwili,silaha na akili ni mkubwa sana pia husiwe na criminal background vipo vingi sana lakini kwa uchache ni hivyo
Walizi wa viongozi wanatakiwa kuwa fiti kimazoezi hasa ya kutumia silaha na matumizi wa mwili yani mikono na miguu pia wanapendekeza sana huwe na shabaha kwani wanasema huweze kuhit target ,hata kwenye kundi la watu wengi pia kila risasi inayotoka ni lazima ifanye madhara kwa adui
Pia wanasema huwe Smart thinker si great thinker . Kwani wanaitaji mahamuzi sahihi tena kwa muda mfupi kwani Smart thinker ni yule mwenye mahamuzi sahihi kwa muda mfupi kwa wakati wowote lakini great thinker unaweza kuwa na mahamuzi sahihi kwa wakati fulani anadhani yeye kuwa ni sahihi
Pia hakuna kipengere kinachosema mlinzi wa viongozi ni lazima kuwa mwembamba,mnene au wakawaida wanachotaka ni kuwa mwepesi tu na ni ukweli usiofichika kuwa watu wanamwili mkubwa lakini ni wepesi kuliko mwenye mwili mgodo pia ukakamavu haujalishi aina ya mwili aidha mwembamba au mnene

Unapozungumzia ulinzi (protection) na usalama(security) unazungumzia matumizi ya AKILI,SILAHA NA MWILI
AKILI hapa ndio zinatumika zile zinazoitwa hisia 6 au "sixth sense"
Kila binadamu ana body sensitivity 3 ila wanausalama wanakwenda kusomea zingine tatu ndo inakuja kuwa 6 kwani unatakiwa kujua duniani kuna aina tatu za elimu
1 Elimu ya kidini
2 Elimu ya kidunia hii ndio tunafundishwa mashuleni
3 Elimu ya utambuzi elimu hii wanafundishwa watu wachache ambao wanakuwa trained kwa ajili ya kudeal na watu wenye elimu hzo mbili yani ya dini na kidunia
nikutajie kuanzia hisia ya 4 mpka 6 kwa ufupi
4 Ni uwezo wa kumsoma mtu kwa sura yake
kwa kumwangalia tu tutakubaliana ya kuwa sura inaongea sura inaweza elezea kila kitu kinachotokea ndani ya mwili wako mfano furaha,huzuni,shauku,hofu,jazba na kukata tamaa
5 Ni uwezo wa kumsoma mtu kupitia moyo wake hapa napenda kuwaelezea kidogo na kuwapa mfano juu ya usomaji wa moyo mtu aliyeiva ktk maswala ya ujasusi anauwezo mkubwa wa kujua ata anapomtongoza mwanamke anajua atajibu nini au anawaza nini kihisia juu yake kwan lipo somo maalumu kwa ajiri ya wanawake ktk tasinia ya ujasusi inamtambua mwanamke kama ni silaha ya maangamizi ( Weapons of Mass Distraction)
6 Ni uwezo wa kumsoma mtu ndani ya ubongo pia tunatakiwa kujua ubongo ndio command center ya mwili wa kila mwanadamu command zote zinatoka ndani ya ubongo na ukiweza kufuzu vizuri somo ili ambazo pass mark zake ni 70% utakuwa unawezo mkubwa sana wa mambo wa ujasusi
SILAHA hapa inatakiwa kujua matunizi sahihi ya silaha za aina 5 tofauti pili huwe na uwezo wa kulenga shabaha kwani kila risasi utakayo piga ni lazima uhit target , kwani kazi yako unaifanya kwenye mikusanyiko ya watu wengi kwani mara nying viongozi huwa kwenye mikusanyiko ya watu so ni lazima adui tu ndie adhibitiwe si watu wasio na hatia
MWILI hapa ndo linapokuja swala fitness ya mwili na fitness inapatikana kwa kufanya mazoezi ya ukakamavu si mazoezi ya kujaza au kupunguza mwili sasa ninaposema wepesi inatakiwa huwe mwepesi wa mwili na akili (smart thinker) na ndo maana nakwambia hakuna kipengere kinachosema mlinzi wa viongozi ni lazima huwe ni mwembamba au mwili mkubwa ila unatakiwa huwe mkakamavu na utayali wa kukabili tukio lolote kwa wakat wowote
Ufafanuzi wako ni mzuri sana, ni somo tosha. Hata hivyo katika uandishi wako inaonekana umeathiriwa sana na lugha ya mama, KIHAYA. Inapunguza utamu wa andiko lako.
 
Mkuu Ubora wa kitu chochote unapimwa kutokana na vitu vitatu

1 Performance
2 Stability
3 Nature

Kazi ya TISS ni ulinzi wa viongozi je nikuulize swali ulishawai kusikia kiongozi ambaye yuko under TISS protection amepata madhara ?
kama ujawai kusikia kwanini upate wasiwasi na weledi wa kazi wanazofanya??

Ngamanya Kitangalala
Tuelezee kidogo hizo performance, stability and nature mkuu. Ila Walinzi wetu unadhani wanaelimu ya chuo na hizo 3.5 GPA??
 
Anauliza ile ya mzee mwinyi alivyonyukwa kibao
Kuna kitu kinaitwa Protection Clearance level (PCL) na ndani ya PCL kuna vitu viwili au Clearance level 2

1 Presidential Proctection (PP)
2 Executive protection (EP)

PP na EP refers to security measures taken to ensure the safety of VIPs

Presidential Proctection Clearance level nimesema zipo 5 na zinatumika kutokana na mazingira mfano rais anapokuwa ndani ya Ikulu je ulinzi wake ni sawa kama anavyokuwa nje ya ikulu?

Executive protection ni ulinzi wanaopewa watu au viongozi wa kitaifa na wastaafu ulinzi huu ni tofauti na Presidential Proctection ambao mara nying ni kwa ajili ya Rais tena ambaye yuko madarakani

Leo Obama msafara wake ni wa gari tatu moja yake mbili za walinzi so ulinzi wake umepungua si sawa kama alivyokuwa ni rais wa US

Kingine tafuta video ya Mzee Mwinyi then angalia vizuri utagundua kitu kuwa yule jamaa alikuja si kwa kuvamia au kufanya kitu alikuja kama ni mmoja wa Crew member wa ile shuguli kumbuka ilikuwa ni shuguli ya kidini na alikuja kama ni fundi mitambo na alikuja kama anarekebisha mike ndio akafanya tukio lile ambalo naimani hakuna mtu aliyetarajia kwa tukio lile kufanyika kwenye shuguli kama zile hasa za mambo ya kiimani
 
Mkuu Ubora wa kitu chochote unapimwa kutokana na vitu vitatu

1 Performance
2 Stability
3 Nature

Kazi ya TISS ni ulinzi wa viongozi je nikuulize swali ulishawai kusikia kiongozi ambaye yuko under TISS protection amepata madhara ?
kama ujawai kusikia kwanini upate wasiwasi na weledi wa kazi wanazofanya??

Ngamanya Kitangalala
Mzee Mwinyi aliposhambuliwa alikuwa analindwa na watu gani? Kinachowasaidia viongozi wetu ni utulivu na nidhamu ya Watanzania.
Lkn natabiri, kwa matendo ya viongozi wetu wa leo, siku zinakuja tutaanza kuona wakishambuliwa...
 
Ndugu wana jamvi
Ningependa kujadili maswala haya makubwa mawili

1. Nakumbuka kipindi cha kampeni rais alikuwa na vijana wanamlinda akiwa bado hajawa rais cha kushangza ni kuwa baada ya kupata nafasi hiyo vijana wale wale wameendelea kuwa walinzi wake, ningependa kuhoji ubora wao katika maswala ya ulinzi.

2. Kama tujuavyo ulinzi wa rais unahitaji umairi mkubwa ila cha kushangaza ni kuwa walinzi w rais wengi ni wenye vitambi na nyama zembe je wapo vizuri kwa mapambano kama ikihitajika?

Ukweli ni kuwa walinzi hawa wanaonekana kuwa wachovu na wasio jua mambo ya kiulinzi na mapambano. Tujadiliane
Si ujaribu kupenya kwa nguvu mkuu kama hujapasuliwa kichwa.Thread zingine huwa hazina maana kufunguliwa
 
Ndugu wana jamvi
Ningependa kujadili maswala haya makubwa mawili

1. Nakumbuka kipindi cha kampeni rais alikuwa na vijana wanamlinda akiwa bado hajawa rais cha kushangza ni kuwa baada ya kupata nafasi hiyo vijana wale wale wameendelea kuwa walinzi wake, ningependa kuhoji ubora wao katika maswala ya ulinzi.

2. Kama tujuavyo ulinzi wa rais unahitaji umairi mkubwa ila cha kushangaza ni kuwa walinzi w rais wengi ni wenye vitambi na nyama zembe je wapo vizuri kwa mapambano kama ikihitajika?

Ukweli ni kuwa walinzi hawa wanaonekana kuwa wachovu na wasio jua mambo ya kiulinzi na mapambano. Tujadiliane
Jaribu siku moja kumvamia Rais akiwa kwenye ziara au mkutano wowote hapo ndipo utakapopata jawabu la swali lako.
 
Kuna kitu kinaitwa Protection Clearance level (PCL) na ndani ya PCL kuna vitu viwili au Clearance level 2

1 Presidential Proctection (PP)
2 Executive protection (EP)

PP na EP refers to security measures taken to ensure the safety of VIPs

Presidential Proctection Clearance level nimesema zipo 5 na zinatumika kutokana na mazingira mfano rais anapokuwa ndani ya Ikulu je ulinzi wake ni sawa kama anavyokuwa nje ya ikulu?

Executive protection ni ulinzi wanaopewa watu au viongozi wa kitaifa na wastaafu ulinzi huu ni tofauti na Presidential Proctection ambao mara nying ni kwa ajili ya Rais tena ambaye yuko madarakani

Leo Obama msafara wake ni wa gari tatu moja yake mbili za walinzi so ulinzi wake umepungua si sawa kama alivyokuwa ni rais wa US

Kingine tafuta video ya Mzee Mwinyi then angalia vizuri utagundua kitu kuwa yule jamaa alikuja si kwa kuvamia au kufanya kitu alikuja kama ni mmoja wa Crew member wa ile shuguli kumbuka ilikuwa ni shuguli ya kidini na alikuja kama ni fundi mitambo na alikuja kama anarekebisha mike ndio akafanya tukio lile ambalo naimani hakuna mtu aliyetarajia kwa tukio lile kufanyika kwenye shuguli kama zile hasa za mambo ya kiimani
Kwa mantiki hiyo huyo nae n mmoja wamo ya walinzi wake au watalaam wa mafunzo ya ulinzi kama n MTU baki s angekurupuka na kwenda kumvamia nakumbuka mh bush aliwah rushiwa kiatu na hii huwa wanajiandae walinzi wa viongozi wetu?
 
Kuna kitu kinaitwa Protection Clearance level (PCL) na ndani ya PCL kuna vitu viwili au Clearance level 2

1 Presidential Proctection (PP)
2 Executive protection (EP)

PP na EP refers to security measures taken to ensure the safety of VIPs

Presidential Proctection Clearance level nimesema zipo 5 na zinatumika kutokana na mazingira mfano rais anapokuwa ndani ya Ikulu je ulinzi wake ni sawa kama anavyokuwa nje ya ikulu?

Executive protection ni ulinzi wanaopewa watu au viongozi wa kitaifa na wastaafu ulinzi huu ni tofauti na Presidential Proctection ambao mara nying ni kwa ajili ya Rais tena ambaye yuko madarakani

Leo Obama msafara wake ni wa gari tatu moja yake mbili za walinzi so ulinzi wake umepungua si sawa kama alivyokuwa ni rais wa US

Kingine tafuta video ya Mzee Mwinyi then angalia vizuri utagundua kitu kuwa yule jamaa alikuja si kwa kuvamia au kufanya kitu alikuja kama ni mmoja wa Crew member wa ile shuguli kumbuka ilikuwa ni shuguli ya kidini na alikuja kama ni fundi mitambo na alikuja kama anarekebisha mike ndio akafanya tukio lile ambalo naimani hakuna mtu aliyetarajia kwa tukio lile kufanyika kwenye shuguli kama zile hasa za mambo ya kiimani
Kwa mantiki hiyo huyo nae n mmoja wamo ya walinzi wake au watalaam wa mafunzo ya ulinzi kama n MTU baki s angekurupuka na kwenda kumvamia nakumbuka mh bush aliwah rushiwa kiatu na hii huwa wanajiandae walinzi wa viongozi wetu?
 
Raisi analindwa Na Team Kubwa asilimia kubwa ya walinzi hao ni invisible hawaonekani Ambao huonekana ni Detail Leader na mpambe ambae ni Aided de Camp (ADC)
 
Usije ukapma uwezo wa mtu kwa kumwangalia Ndugu Yangu utakuja kupgwa ngumi moja mpka uanze kuoza saiyo iyo
 
Walinzi wa Tanzanian kwasababu hawajawahi kukutana na mikimikiki. wakati wanamlinda raisi kwahiyo hatuwezi kujua uimara wao
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg

Aiseee,

Mleta Uzi nakuona tayari uko kwenye ule mstatiri wenye kona nne katika jeneza tukiimba haka kawaimbo haka ka kanisa za kuletwa na wazungu kanaitwa Aaaagh nimekasahau tena oooh, kanaitwa *tuonane mbinguni, wanaongezea tuonane bandarini kule* ila sina uhakika sana kama ndiyo hako kawimbo.

Labda, niseme, hivi kwa kifupi, hao jamaa zali likitokea au wewe mleta huu uzi ukijaribu sumu kwa kuilamba ndiyo utaelewa majibu yake na kisha utatuletea mrejesho kamili usio kuwa na chenga wala maswali.

Pia, niongezee tu kuwa hao jamaa wako vizuri mno kuliko unavyofikilia au kuwaona kwa macho.

Mwisho, ulinzi wa viongozi Wakubwa wa nchi yetu kuna ngazi nyingi sana zaidi ya ngazi tano , kwa hiyo hao wanaoonekana wako jambo ile sana pia wako wanyama makundi tano ambao hawaonekani hapo nao wako vizuri sana mno.

Kwa hiyo, nikushauri kuwa hebu jaribu uuone mziki wake kisha utaleta muendelezo wa huu uzi wako kama mrejesho ,

Japo , ninauhakika kuwa hutarudi maana tutakuwa tayari tunapiga pambio la makaburini!

Kwa hiyo mrejesho, itakuwa ni makaburini au mabepwande huku ukiwa umeisha ny'ofolewa moyo , figo na maini hadi na ulimi bila ganzi!
 
Back
Top Bottom