Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Nina knowledge ya baadhi ya sanaa za mapigano. Mtu mwenye kitambi kama wa kwenye hizo picha atakua na faida kama atakua anafanya jiu jitsu lakini ataweza kutamba akikutana na mtu anayefanya krav maga?
Vipi kama akikutana gurkha?

Sijui jeshi letu limespecialize kwenye staili gani ila zamani niliambiwa polisi wanafanya judo wanajeshi kara te.

Hawa waliochaguliwa miongoni mwa walio bora miili yao inawasaliti, labda kama wanavaa bullet proof vest tatu tatu.
Krav Maaga ya Israel? Achana na hiyo kitu.
 
Tanzania nchi ya aman..kungekuwa na matukio ya kupinduliwa au kuuawa kwa rais..sidhan kama ungewaona walinzi hao..we learn through mistakes
 
Kaka Unanijua? Mpaka sasa nimeshapiga shotokan, boxing, judo na sasa hivi namalizia Muay Thai. Kama napanga nao private hamna wa kuniweka chini hapo.
Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa rais
 
Ukitaka kujua fitness yao nenda kawaingilie maeneo yao alafu uje hapa uanzishe thread nyingine yakutoa ushuhuda..."endapo utafanikiwa kuchomoka salama"
 
Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa rais
Ndo maana nikakuuliza kuwa unanijua? Ngoja niishie hapo. Kitu pekee hapo kilichowaweka majamaa ni mambo ya inteligenc tu. Lakini sio ktk mapigano ya kimwili hasa, ni kweli wapo vyema hata ktk hand to hand combat lakini sio wakali kihivyo, na nikwambie tu kuwa hamna Komando hapo.

Kazi ya Bodgad Mkuu hapo ni kumfica rais tu, wengine ndo wana kazi ya kupambana either kwa silaha au kwa mikono. Tanzania tasinidanganye kwamba eti tupo best sehemu kama hizi kwa zama hizi, labda ile TISS ya Mwalimu.
 
Usijaribu kucheza nao watakuumiza

Kaka Unanijua? Mpaka sasa nimeshapiga shotokan, boxing, judo na sasa hivi namalizia Muay Thai. Kama napanga nao private hamna wa kuniweka chini hapo.

Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa rais

Ukitaka kujua fitness yao nenda kawaingilie maeneo yao alafu uje hapa uanzishe thread nyingine yakutoa ushuhuda..."endapo utafanikiwa kuchomoka salama"

Huyu mama wa mirathi amejaribu fitness yao na mimi imenipa wasiwasi; je huyo mama angekuwa na nia mbaya na ana mafunzo ingekuwaje hapo?

 
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg


Nimecheka kufa kuona hawa walinzi na matumbo yao yalivyo makubwa mf kama rais kavamiwa hao jamaa wataweza kumvusha kweli.


Swissme
 
Mlinzi wa rais lazma awe multipurpose just in case,ebu tafuta hata zile movie kama oympus has fallen,au white house down uone hekaheka za walinzi wa rais zinavyokuwa haraf ujiongeze kama Kwa vitambi vile vya walinzi wetu wanaweza hata robo
Mambo yakwenye kideo au sio?
 
Ndo maana nikakuuliza kuwa unanijua? Ngoja niishie hapo. Kitu pekee hapo kilichowaweka majamaa ni mambo ya inteligenc tu. Lakini sio ktk mapigano ya kimwili hasa, ni kweli wapo vyema hata ktk hand to hand combat lakini sio wakali kihivyo, na nikwambie tu kuwa hamna Komando hapo.

Kazi ya Bodgad Mkuu hapo ni kumfica rais tu, wengine ndo wana kazi ya kupambana either kwa silaha au kwa mikono. Tanzania tasinidanganye kwamba eti tupo best sehemu kama hizi kwa zama hizi, labda ile TISS ya Mwalimu.
Tatizo hujui majukumu ya hiyo taasisi ya TISS, ina mambo mengi kumlinda rais is an integrated task, hapo kuna wanausalama directly kutoka kwenye idara pia kuna maasikari wa medani kutoka jeshini ambao ni wanausalama pia, wapo kwa ajili ya Ku intercept na Ku neutralize fujo na matishio yoyote kwa rais!!
Hao wapo kikazi zaidi na sio mizaha mizaha
 
Huyu mama wa mirathi amejaribu fitness yao na mimi imenipa wasiwasi; je huyo mama angekuwa na nia mbaya na ana mafunzo ingekuwaje hapo?


Ulitaka huyo mama apigwe kabisa na wanausalama? Hapo aliondolewa kwa njia ya kawaida tu
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg
jaribu siku moja kwenda kwny mkutano wa hadhara anaohutubia Mh Rais kisha ufanye tukio LA hovyo ndo utapata uhakika na hoja yako...ngoma huwa inanoga kama ukipata fursa ya kuicheza.....
 
Back
Top Bottom