Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Tatizo la wabongo wengi ni ujuaji,mtu kaangalia muvi mbili tatu anakuwa mchambuzi,bodyguard moja ya sifa zake kubwa ni shabaha,mtu wa kumuattack rais hakabiliwi na ngumi wala karate,hakuna huo muda wa kukunjana
 
Tatizo la wabongo wengi ni ujuaji,mtu kaangalia muvi mbili tatu anakuwa mchambuzi,bodyguard moja ya sifa zake kubwa ni shabaha,mtu wa kumuattack rais hakabiliwi na ngumi wala karate,hakuna huo muda wa kukunjana
Kwahyo hata wewe hayo unayojibu umejitia ujuaji pia?maana nawewe umechambua bodyguard Ana sifa zipi,kwahyo rais hawez kushambuliwa Kwa karibu?naona kama umelitazama hili suala Kwa fikra fupi mno mwisho ukajitia ujuaji zaid
 
Binafsi nawafahamu na kuwaelewa wawili kati ya walinzi wa Magu, japo ni wanene kiasi bado ni wakakamavu na wako vizuri.
 
Kwanini hao walinzi wa Mandela wameweka mikono ndani ya koti?

Wanashika nini?
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg
Wewe kama una shaka wajaribu jifanye mwehu utake kumdhuru rais ndo ulete mrejesho kama ukiwa hai lakini
 
Ukubwa wa pua...ukubwa wa makalio..... ukibwa wa dyudyuuu....
 
Unaangalia mwili eeeh? Kwnza m2 mkakamavu hyo mpaka anamkaribia raisi ana ubavu gani? Kabla hujafnya chochote ushachezea Risasi si chini ya 20 !! NYAMBAFU
Kwa maelezo zaid JARIBU UONE [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

~Cmb
 
Ukimuona muheshimiwa jarbu kumsogelea alaf utaleta mrejesho kama wapo fiti
 
Km hao wa Madiba wanaonekana hawana mzaha kabisa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom