Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Nina knowledge ya baadhi ya sanaa za mapigano. Mtu mwenye kitambi kama wa kwenye hizo picha atakua na faida kama atakua anafanya jiu jitsu lakini ataweza kutamba akikutana na mtu anayefanya krav maga?
Vipi kama akikutana na gurkha?

Sijui jeshi letu limespecialize kwenye staili gani ila zamani niliambiwa polisi wanafanya judo wanajeshi kara te.

Hawa waliochaguliwa miongoni mwa walio bora miili yao inawasaliti, labda kama wanavaa bullet proof vest tatu tatu.
MKUU jeshini kuna aina nyingi za martial arts, lakini zinazofundishwa sana hapa kwetu ni JUDO KOMBAT, TAE KWON DO, NA KOMBAT KARATE, wanaokazia zaidi haya mambo ni maasikari wa vikosi maalum mfano jeshini CDO lazima umudu haya mambo kisawa sawa ndipo uendelee na course zingine za medani lakini pia kwa sasa hata KRAV MAGA imeanza kuingia jeshini ( for Commandos only)
 
Halafu kuna hili la askari polisi hao wapya wanaorandaranda mitaani na kuongoza magari, mbona wana miili kidogo sana maumbo yao ni madogo mno , sidhani kama wataweza kumdhibiti mtu mwenye kilo tisini wale, sijui kwa nini wale maaskari polisi wa miaka ile ya themanini na mwanzoni mwa tisini kama watakuwepo tena, hawa wa sasa niliwaona huko TZ, mpaka wanangu wakawa wanawashangaa eti ndio askari wetu mbona wadogo hivyo.
Wangeajiri warefu pekeake, wangekosea Sana maana kuna mikoa asili yao ni wafupi Kama Moro, Lindi nk, vipi wao, hawana haki kuwa walinzi wa Taifa lao kama polisi?
 
Ukakamavu au combat readiness sio kwa muonekano tu! Kama unataka kuwajua wako dizaini gani wakija huko kwako hebu jaribu kuingia kwenye protection zone yao ndio utawajua ni wakakamavu kiasi gani!
 
MKUU jeshini kuna aina nyingi za martial arts, lakini zinazofundishwa sana hapa kwetu ni JUDO KOMBAT, TAE KWON DO, NA KOMBAT KARATE, wanaokazia zaidi haya mambo ni maasikari wa vikosi maalum mfano jeshini CDO lazima umudu haya mambo kisawa sawa ndipo uendelee na course zingine za medani lakini pia kwa sasa hata KRAV MAGA imeanza kuingia jeshini ( for Commandos only)
Krav maga kuingizwa mwaka huu tena kwa ajili ya Komando pekee ni kielelezo cha fitness yetu inapotelea wapi. Hiyo staili jeshi la Israel wamezurura nayo mpaka sasa raia wao wanaifanya.

Askari wa kawaida anayepambana na wahalifu kila siku alitakiwa awe na staili ya kumneutralize adui faster, staili ipi inafaa kwa hilo kama siyo krav maga au LINE? Na bado unamfundisha tae kwon do ambayo misikiti karibia yote inafundisha.
 
Krav maga kuingizwa mwaka huu tena kwa ajili ya Komando pekee ni kielelezo cha fitness yetu inapotelea wapi. Hiyo staili jeshi la Israel wamezurura nayo mpaka sasa raia wao wanaifanya.

Askari wa kawaida anayepambana na wahalifu kila siku alitakiwa awe na staili ya kumneutralize adui faster, staili ipi inafaa kwa hilo kama siyo krav maga au LINE? Na bado unamfundisha tae kwon do ambayo misikiti karibia yote inafundisha.
mkuu mifumo ya ngumi za jeshini ni tofauti na ya kawaida mfano Karate ya jeshini ni ya kupiga na kuua adui lakini uraiani mchezo wa kujihami, pia judo ya jeshi ni ya mapigano yaani JUDO KOMBAT inafundishwa kwa maasikari ili kuua adui hata kata zake ziko modified sana ili kuwekwa kwenye course za kijeshi
 
mkuu mifumo ya ngumi za jeshini ni tofauti na ya kawaida mfano Karate ya jeshini ni ya kupiga na kuua adui lakini uraiani mchezo wa kujihami, pia judo ya jeshi ni ya mapigano yaani JUDO KOMBAT inafundishwa kwa maasikari ili kuua adui hata kata zake ziko modified sana ili kuwekwa kwenye course za kijeshi
Sawa mkuu nimekupata
 
Ni rotation tuu ila ninaamini kuna wengine wapo zaidi hao tuliowaona hapo
 
mda mwingine mazoezi tu sio tiba ya kitambi, mfano mcheza karate maarufu SAM HUNG ni mwepesi na ana routine phyisical workout lakini ana kitambi au naye ni mdebwedo hana mazoezi?
Huyo jamaa anabonda balaa.
 
Haha ivi hilo neno TANGANYIKA JEKI asili yake ni kabla ya Muungano ama?
Je Zanzibar vp kuna Zanzibar jeki?
Ama Tanganyika Jeki inatumika hadi upande mwingine wa Muungano yani Zanzibar??
Na vp nchi Jirani nao wanatumia Tanganyika Jeki ama wana jeki zao? Say Kenya Jeki ama Uganda jeki?
Hiyo ilikuwa ndio kiboko yao basi ikabatizwa jina hilo lazima utembelee kucha. Ni jina tu halina uhusiano na muungano wala nchi jirani
 
Jaribu kumgusa mheshimiwa ndio utajua uwezo wao!Usisahau kutupa mrejesho..
 
Kwanini usianze wewe kwa kuthibitisha huo unaoita u "imara"?. Mimi sijasema kuwa ni imara au la! nimefikiria tu "katikati ya mistari".
Wenye uelewa tunaelewa ni ngangari sasa wewe usieamin hebu thibitisha hapa
 
Wenye uelewa tunaelewa ni ngangari sasa wewe usieamin hebu thibitisha hapa
uelewa wako nadhani utakuwa unachochewa na huba, huo ungangari umeuthibitisha katika zile show za uhuru au? labda kama huwa wana shiriki ule upuuzi, kipimo cha ungangari huthibitika pindi jaribu linapojitokeza na jinsi gani litakabiliwa na wahusika.
 
Kwenye yale maonyesho ya makomandoo siku ya uhuru mwaka jana si walikuwepo wembamba ambao wako fit ile mbaya na hapo hapo palikuwepo wanene ambao nao ni balaa tupu? Wewe huo ulegelege wa walinzi umeupima kwa kuangalia umbo? Kama umeangalia umbo basi hujui ulipo.
 
Ssssssssssssssssssssssssssss_SassssssssssssssssasasSsssssssssAssssssssssssssss@assssss
 
Back
Top Bottom