Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walinzi wa mtukufu dah kuna yule mmoja sijui huwa ni mnubi ama msudani wa kusini na kati yule ukimuona hapepesi macho yuko ndindi tii kama kifuu cha mkaa. bwana four eyes ukitaka kujua fitness yao jaribu kuchokoa hadhara ya mtukufu. hapa tutaleteana story za kwenye movie tu
Tusipo waajiri mnasema serikali inabagua by the way kichwa ndo kila kitu namjua mtu mwepesi tu kwakumuangalia ila ukitaka akutoe macho na kidole we sema ht nyoko tuHalafu kuna hili la askari polisi hao wapya wanaorandaranda mitaani na kuongoza magari, mbona wana miili kidogo sana maumbo yao ni madogo mno , sidhani kama wataweza kumdhibiti mtu mwenye kilo tisini wale, sijui kwa nini wale maaskari polisi wa miaka ile ya themanini na mwanzoni mwa tisini kama watakuwepo tena, hawa wa sasa niliwaona huko TZ, mpaka wanangu wakawa wanawashangaa eti ndio askari wetu mbona wadogo hivyo.
Kwani walinzi ni kwa akili ya kukimbia au kulinda!!. Akikimbia maana yake ameogopa. Usirudie kuongea kitu kama hiki teena mana utagongwa bureMatumbo ya walinzi wa Tanzania ni makubwa mno sijui kama wanaweza kimbia.
swissme
Ndugu yangu hata kwenye senema hawamuweki steringi mfupi ampige mtu mkubwa , lazima wataonyesha kamuua kwa kitu chenye ncha kali, tena baada ya mbilinge ya hatari.Tusipo waajiri mnasema serikali inabagua by the way kichwa ndo kila kitu namjua mtu mwepesi tu kwakumuangalia ila ukitaka akutoe macho na kidole we sema ht nyoko tu
Hivi mfano wakitaka kumuokoa rais akitaka kuzama kwenye maji na hayo matumbo.Kwani walinzi ni kwa akili ya kukimbia au kulinda!!. Akikimbia maana yake ameogopa. Usirudie kuongea kitu kama hiki teena mana utagongwa bure
Mtu mwenye kitambi nasikia hazami kwenye maji[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]Hivi mfano wakitaka kumuokoa rais akitaka kuzama kwenye maji na hayo matumbo.
swissme
Mtu mwenye kitambi nasikia hazami kwenye maji[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]
Hivyo vitambi vyao ni vikubwa sana, kama mtu uko vyema kwenye Martial Arts unaweza ukapanga nao mkono.nnachoweza kukujibu tu ni kuwa I practice martial arts, najua umuhimu wa mimi kuwa na uzito wa kawaida hasa kutokuwa na kitambi and I really hate it, lakini naamini kuwa yeyote aliyepewa jukumu hasa la kiulinzi ni mtu sahihi maana amepatikana kwenye kundi la walio bora, sifanyi tathimini ya ukomavu wao kwa kuangalia vitambi bali ni performance zao,
naamini taasisi za kiulinzi za nchi yetu hazikufanya makosa kuwaweka hao maafisa usalama kuchukua hilo jukumu, OSS