Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Jibu lako jepesi sana.rais mstaafu huyo hana ulinzi mkali kama wa rais awapo madarakani
Kwahiyo tuna walinzi wachache wa kumtosha raisi aliyepo madarakani? Hao wengine wakafie mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu lako jepesi sana.rais mstaafu huyo hana ulinzi mkali kama wa rais awapo madarakani
Unaona kitambi uzembe cha huyo wa kushoto?nae utasema yupo fiti balaa na ni mwepesi hatari,hahaha,View attachment 465702
UKIONDOA RAIS KABILA, MAGUFULI NA MAMA SAMIA SULUHU, WENGINE WOTE NI WALINZI, PIA UKICHUNGUZA VIZURI HUYO KUSHOTO NYUMA YA RAIS MAGUFULI YUKO EQUIPPED KWA SILAHA ZA MOTO.
mda mwingine mazoezi tu sio tiba ya kitambi, mfano mcheza karate maarufu SAM HUNG ni mwepesi na ana routine phyisical workout lakini ana kitambi au naye ni mdebwedo hana mazoezi?Unataka kusema tangu anapitia mafunzo kitambi kilikuepo? Kama hakikuepo kwanini sasa hivi kipo?
Kama kilikuepo, inawezekana vipi mtu anayepitia mafunzo ya ufiti akatoka kitambi?
Jamaa Yuko vzuri kwenye mada hzi aiseMada kama hizi huwa analeta Gentamicin yeye mjuvi wa hayo mambo
Logically umri wa kufanya kazi hii ni umri ambao muhusika anaweza kuwa fiti kimazoezi na purukushani ikibidi,hawa Wana mbinu za kiualama kichwan lakin Nina mashaka na miiliyao ikija ktk utekelezaj wa kivitendoKwa ufupi tu nikujibu kuwa hao unaohisi si lolote kwa mionekano ya vitambi ni maasikarijeshi idara intelijensia na ulinzi, wana uwezo mkubwa na viwango vyao vinakidhi kumlinda rais in any cost, wako fit kuanzia hand to hand na matumizi ya silaha za moto, haingii akilini kama taifa letu licha ya kuwa na maasikari ( makomandoo) walioiva wawekwe watu wasiojiweza kumlinda mkuu wa nchi, hao ni moto wa kuotea mbali,
suala la umri, unachokisema hakiendani na uhalisia kwa kuwa:
1. hujui umri sahihi unaofaa kuanza kumlinda rais na kustaafu kazi hiyo,
2. hujui namna kazi hiyo inavyofanywa/kutekelezwa
swali kwako mkuu, hebu taja umri hasa ni upi unaofaa kuanza kumlinda rais na upi unafaa kustaafu kazi hiyo?
Inategemea na kitambi aina gani.mda mwingine mazoezi tu sio tiba ya kitambi, mfano mcheza karate maarufu SAM HUNG ni mwepesi na ana routine phyisical workout lakini ana kitambi au naye ni mdebwedo hana mazoezi?
Unajua Sammo Hung kabla ya kuigiza Eastern Condors alikua na kilo ngapi? Akazipunguza mpaka ngapi ili aendane na kasi?mda mwingine mazoezi tu sio tiba ya kitambi, mfano mcheza karate maarufu SAM HUNG ni mwepesi na ana routine phyisical workout lakini ana kitambi au naye ni mdebwedo hana mazoezi?
we unafikiri si lolote ama vipi, vijana tusiparamie mambo twendeni taratibu, hao unaowaona wana mazoezi mazito ambayo wewe ukiyafanya utalala wiki nzima kitandaniUnaona kitambi uzembe cha huyo wa kushoto?nae utasema yupo fiti balaa na ni mwepesi hatari,hahaha,
Mazoezi hayafanywi kama umeshika kaa la moto, unaanza kwa vipimo. Kwahiyo kama leo wewe ukifanya ukalala kitandani jua na mwenzako alilala kitandani.we unafikiri si lolote ama vipi, vijana tusiparamie mambo twendeni taratibu, hao unaowaona wana mazoezi mazito ambayo wewe ukiyafanya utalala wiki nzima kitandani
Hawataki kuuuona ukwel kwamba hawa watu hawajishughulishi na mazoezi na wanalinda kimazoea tu na protokali kakini hawajifui kubaki fiti kimwili,Unataka kusema tangu anapitia mafunzo kitambi kilikuepo? Kama hakikuepo kwanini sasa hivi kipo?
Kama kilikuepo, inawezekana vipi mtu anayepitia mafunzo ya ufiti akatoka kitambi?
mnachokitaka nyie ni mionekano ya vifua na sio utendaji kazi, IDD AMIN alikuwa komandoo mwenye mazoezi ya kutosha lakini alikuwa na kitambi, fanya uwaingilie katika jukum lao na mazoezi yako ya gym ili uone kitakachotokea mkuuUnajua Sammo Hung kabla ya kuigiza Eastern Condors alikua na kilo ngapi? Akazipunguza mpaka ngapi ili aendane na kasi?
Kibaya zaidi hilo tatizo lipo mpaka kwa askari wa kawaida. Hawafanyi mazoezi mpaka wasikie kuna maandamano ndiyo maana majambazi wanatamba.Hawataki kuuuona ukwel kwamba hawa watu hawajishughulishi na mazoezi na wanalinda kimazoea tu na protokali kakini hawajifui kubaki fiti kimwili,
Haha ivi hilo neno TANGANYIKA JEKI asili yake ni kabla ya Muungano ama?Hilo kweli linasikitisha maumbo yamekuwa madogo sana enzi zile anakuja askari unapigwa tanganyika jeki (tanganyika jack )unatembelea vidole jamaa walikuwa mapande ya watu akikwambia ongoza kituoni unaenda .Sasa hawa inabidi tu atumie diplomasia kuwa mzee eti eti nimetumwa eti eti Ocs anakuhitaji pale kituoni huku kaweka mikono kichwani.
kwanini rais Bush alirushiwa kiatu akakikwepa yeye mwenyewe licha ya kuwa na walinzi makini wasio na vitambi? jibu tafadhaliUmeona eeh,alikuwa analindwa na hawahawa wenye vitambi vyao wkamuangalia tu mpaka akampiga vibao mwinyi
Hapo sasa ndiyo unapokosea wewe na kila mwenye mawazo kama yako.mnachokitaka nyie ni mionekano ya vifua na sio utendaji kazi, IDD AMIN alikuwa komandoo mwenye mazoezi ya kutosha lakini alikuwa na kitambi, fanya uwaingilie katika jukum lao na mazoezi yako ya gym ili uone kitakachotokea mkuu