Vigezo vya ulinzi wa viongozi au VIP protection huwa vinafanana na vinakuja kutofautiana kwenye Technology na protection clearance level kwa viongozi, clearance level kubwa kabisa ya kidunia ni 5 pia ulinzi wa viongozi unategemea na maeneo ambayo kiongozi yupo, threat zinazoweza kujitokeza kwa mazingira ambayo kiongozi yupo ,pia hali ya usalama wa nchi husika mfano ulinzi wa viongozi wa nchi za mashariki ya kati ni tofauti na ulinzi wa viongozi wetu mfano huku kwetu wanaobeba silaha za kuonekana kabisa ni FFU, lakini wale wavaa suti wanabeba lakini zinakuwa zimejificha lakini ukienda baadhi ya nchi wote wanabeba tena wengine mpaka machine gun
Vigezo huwa ni 6 kwa level ya kidunia hata vyuo vingi dunian vya mafunzo ya VIP protection wanafundisha lakini kuna nchi wanaviongeza mpaka 10 ila US yeye anavyo mpaka 15 na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za nchi na Technology wao wanatumia presidential protection clearance level zote 5 kwa wakati mmoja na kumfanya rais wa US kuwa mwanadamu wenye ulinzi mkubwa duniani tofauti na viongozi wengine wanaotumia level of clearance kuanzia 2 - 4 na hii wanafanya wamarekani kutokana na rasilimali fedha na rasilimali technology waliyonayo mfano ndege ya Air force pekee kukaa angani ni $228,000 per hour to fly. na ziko ndege mbili zinafatana kila sehemu trip moja ya rais US inakadiliwa kuwa ni kati ya dola 15 - 20 milion kwa trip moja na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za fedha na technology pia US ndo nchi pekee ambayo kiongozi wake anatembea na vifaa vyake vyote bajeti tu ya ulinzi wa rais na makamu wake kwa mwaka ni $1.4 billion.
Mtu yeyote mwenye kazi hii ni lazima kuwa fit physical & mental pia wanasema kuwa angalau uwe na elimu ya chuo na wanapendekeza kuanzia GPA ya kuanzia 3.5 na kuendelea kwani matumizi ya mwili,silaha na akili ni mkubwa sana pia husiwe na criminal background vipo vingi sana lakini kwa uchache ni hivyo
Walizi wa viongozi wanatakiwa kuwa fiti kimazoezi hasa ya kutumia silaha na matumizi wa mwili yani mikono na miguu pia wanapendekeza sana huwe na shabaha kwani wanasema huweze kuhit target ,hata kwenye kundi la watu wengi pia kila risasi inayotoka ni lazima ifanye madhara kwa adui
Pia wanasema huwe Smart thinker si great thinker . Kwani wanaitaji mahamuzi sahihi tena kwa muda mfupi kwani Smart thinker ni yule mwenye mahamuzi sahihi kwa muda mfupi kwa wakati wowote lakini great thinker unaweza kuwa na mahamuzi sahihi kwa wakati fulani anadhani yeye kuwa ni sahihi
Pia hakuna kipengere kinachosema mlinzi wa viongozi ni lazima kuwa mwembamba,mnene au wakawaida wanachotaka ni kuwa mwepesi tu na ni ukweli usiofichika kuwa watu wanamwili mkubwa lakini ni wepesi kuliko mwenye mwili mgodo pia ukakamavu haujalishi aina ya mwili aidha mwembamba au mnene