comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia ni wazembe??? Usidharau mtu kwa muonekano...dont judge a book by its cover my friend..hao watu wameiva wanajua ukujaribu utabroo...na Rais ana mambo mengi sio kila unauona hapo ni mlinzi wengine wana ditect hatari na wengine wanalinda sio kama mnavyodhani nyieKwahyo walinz wetu ni sawa kuwa na miili ya kizembezembe sababu ni wa magu sio wa putin?
Hana kitambiHahah unamsema yule'AIDE DE CAMP" yule anayevaa magwanda ya kijeshi nyuma ya mh. Rais. au?
Ni Kweli...Kupata mafunzo haraf hufanyi mazoez ya mara Kwa mara kubaki na fitness yako haikufanyi kuwa fiti
Haujui nguvu inakaa kwenye tumbo pana...w vepe usikaririMatumbo ya walinzi wa Tanzania ni makubwa mno sijui kama wanaweza kimbia.
swissme
Wa kawaida sana hao... sema tu nchi yetu haina misukosuko ya viongoziKwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine
Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.
Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
FactHapa tutakudanganya mkuu kama vp jaribu fitness yao ndiyo tuanze mjadala.
Ni kweli wanaweza kupasau matofali ya udongo kwa vichwaWapo vzur sana aiseee weweeeee acha kabsa walinzi wetu ni kiboko,
Maumbile hayawezi kukupa picha ya fitness ya mtu?au fitness unailewaje labda?au hujui kwamba kitambi ni dalili ya mtu asiyefanya mazoezi au asiyefanya mazoez ya kutosha?haijalishi picha imepigiwa wap muonekano unabaki palepale una kitambi una kitambi tu haijalishi umepigwa picha mjini au chato.haraf hata umri wao unaonekana kusogea pia,hawa hawapungui miaka arobaini na kitu,sasa jiulize kama umri huo bado ni umri wa kukurukakara za kiulinzi zikijitokezaMkuu sijakuelewa, kwa kumuangalia mtu utajuaje kama yuko fit au la, mavazi, ? maumbile ? pia tofautisha picha uliyoiweka hapo ambapo ni mazingira ya chato, muonekano wa hao jamaa sivyo kama wanavyoonekana wakiwa kwenye shughuli za kitaifa mf uwanja wa taifa au hata kiongozi anapokuwa nje ya nchi, kwa ufupi tu ukitaka kujua kama wapo fiti au la, jaribu lolote mbele ya mheshimiwa