Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

CCM kitambi noma sipoti kilabu.
Matatizo yote yanaletwa na mkongo wa mawasiliano wa Taifa.
Ukikomenti tu wewe ni mchochezi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwahyo walinz wetu ni sawa kuwa na miili ya kizembezembe sababu ni wa magu sio wa putin?
Nani kakwambia ni wazembe??? Usidharau mtu kwa muonekano...dont judge a book by its cover my friend..hao watu wameiva wanajua ukujaribu utabroo...na Rais ana mambo mengi sio kila unauona hapo ni mlinzi wengine wana ditect hatari na wengine wanalinda sio kama mnavyodhani nyie
 
Kupata mafunzo haraf hufanyi mazoez ya mara Kwa mara kubaki na fitness yako haikufanyi kuwa fiti
Ni Kweli...

Ndo maana nkasema ao Walinzi wa bwana Putin wanaweza kupambana zaidi ya SAA bila kukata Punzi, kwa kua Wenye Vitambi watambana vyema tu Ila wataishiwa punzi mapema........

Kwa ujumla wake aipendezi Askari kuwa na Kitambi, Huwa nashangaa sana aka kautamaduni ka hapa nyumbani........!
 
Ulinzi wa raisi sio mchezo kama wengine wanavyochukulia hapa hao wanaoonekana ni sehemu tu, raisi anaweza kwenda sehemu watu wakajaa wewe ukachukulia wale wote waliojaa ni wa kuja tu kumbe nusu yao ni walinzi wa raisi.
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg
Wa kawaida sana hao... sema tu nchi yetu haina misukosuko ya viongozi
amani imetutawala
 
Vigezo vya ulinzi wa viongozi au VIP protection huwa vinafanana na vinakuja kutofautiana kwenye Technology na protection clearance level kwa viongozi, clearance level kubwa kabisa ya kidunia ni 5 pia ulinzi wa viongozi unategemea na maeneo ambayo kiongozi yupo, threat zinazoweza kujitokeza kwa mazingira ambayo kiongozi yupo ,pia hali ya usalama wa nchi husika mfano ulinzi wa viongozi wa nchi za mashariki ya kati ni tofauti na ulinzi wa viongozi wetu mfano huku kwetu wanaobeba silaha za kuonekana kabisa ni FFU, lakini wale wavaa suti wanabeba lakini zinakuwa zimejificha lakini ukienda baadhi ya nchi wote wanabeba tena wengine mpaka machine gun

Vigezo huwa ni 6 kwa level ya kidunia hata vyuo vingi dunian vya mafunzo ya VIP protection wanafundisha lakini kuna nchi wanaviongeza mpaka 10 ila US yeye anavyo mpaka 15 na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za nchi na Technology wao wanatumia presidential protection clearance level zote 5 kwa wakati mmoja na kumfanya rais wa US kuwa mwanadamu wenye ulinzi mkubwa duniani tofauti na viongozi wengine wanaotumia level of clearance kuanzia 2 - 4 na hii wanafanya wamarekani kutokana na rasilimali fedha na rasilimali technology waliyonayo mfano ndege ya Air force pekee kukaa angani ni $228,000 per hour to fly. na ziko ndege mbili zinafatana kila sehemu trip moja ya rais US inakadiliwa kuwa ni kati ya dola 15 - 20 milion kwa trip moja na hii inatokana na uwezo wa rasilimali za fedha na technology pia US ndo nchi pekee ambayo kiongozi wake anatembea na vifaa vyake vyote bajeti tu ya ulinzi wa rais na makamu wake kwa mwaka ni $1.4 billion.

Mtu yeyote mwenye kazi hii ni lazima kuwa fit physical & mental pia wanasema kuwa angalau uwe na elimu ya chuo na wanapendekeza kuanzia GPA ya kuanzia 3.5 na kuendelea kwani matumizi ya mwili,silaha na akili ni mkubwa sana pia husiwe na criminal background vipo vingi sana lakini kwa uchache ni hivyo

Walizi wa viongozi wanatakiwa kuwa fiti kimazoezi hasa ya kutumia silaha na matumizi wa mwili yani mikono na miguu pia wanapendekeza sana huwe na shabaha kwani wanasema huweze kuhit target ,hata kwenye kundi la watu wengi pia kila risasi inayotoka ni lazima ifanye madhara kwa adui

Pia wanasema huwe Smart thinker si great thinker . Kwani wanaitaji mahamuzi sahihi tena kwa muda mfupi kwani Smart thinker ni yule mwenye mahamuzi sahihi kwa muda mfupi kwa wakati wowote lakini great thinker unaweza kuwa na mahamuzi sahihi kwa wakati fulani anadhani yeye kuwa ni sahihi

Pia hakuna kipengere kinachosema mlinzi wa viongozi ni lazima kuwa mwembamba,mnene au wakawaida wanachotaka ni kuwa mwepesi tu na ni ukweli usiofichika kuwa watu wanamwili mkubwa lakini ni wepesi kuliko mwenye mwili mgodo pia ukakamavu haujalishi aina ya mwili aidha mwembamba au mnene
 
Mimi hao watu huwa sina mashaka nao kabisa wewe kama unataka uwajue siku moja jidai kichaa nenda ushike rais ,utaona ule msemo wa hata kazi tu
 
Mkuu sijakuelewa, kwa kumuangalia mtu utajuaje kama yuko fit au la, mavazi, ? maumbile ? pia tofautisha picha uliyoiweka hapo ambapo ni mazingira ya chato, muonekano wa hao jamaa sivyo kama wanavyoonekana wakiwa kwenye shughuli za kitaifa mf uwanja wa taifa au hata kiongozi anapokuwa nje ya nchi, kwa ufupi tu ukitaka kujua kama wapo fiti au la, jaribu lolote mbele ya mheshimiwa
Maumbile hayawezi kukupa picha ya fitness ya mtu?au fitness unailewaje labda?au hujui kwamba kitambi ni dalili ya mtu asiyefanya mazoezi au asiyefanya mazoez ya kutosha?haijalishi picha imepigiwa wap muonekano unabaki palepale una kitambi una kitambi tu haijalishi umepigwa picha mjini au chato.haraf hata umri wao unaonekana kusogea pia,hawa hawapungui miaka arobaini na kitu,sasa jiulize kama umri huo bado ni umri wa kukurukakara za kiulinzi zikijitokeza
 
Back
Top Bottom