Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Wewe fuatilia wapiga somersault kama wote ni vimbaombao, mazoez hayaonekani kwa mwil
 
Mawazo tu...
Wote wanamafunzo maalum na wote wako vizuri.....

Nifikiriavyo mimi ao Wapuni wanaweza pambana Zaidi ya SAA bila kukata pumzi.....
 
Toka lini walinzi wa Rais wakakimbizana na wahalifu?

Kumlinda Rais kunahitaji ukakamavu wa misuli?

Kumlinda Rais kunahitaji akili na Intellijensia ya hali ya juu basi. Hivyo vingine ni mbwe mbwe tu.
 
Toka lini walinzi wa Rais wakakimbizana na wahalifu?

Kumlinda Rais kunahitaji ukakamavu wa misuli?

Kumlinda Rais kunahitaji akili na Intellijensia ya hali ya juu basi. Hivyo vingine ni mbwe mbwe tu.
Mlinzi wa rais lazma awe multipurpose just in case,ebu tafuta hata zile movie kama oympus has fallen,au white house down uone hekaheka za walinzi wa rais zinavyokuwa haraf ujiongeze kama Kwa vitambi vile vya walinzi wetu wanaweza hata robo
 
walinzi wa kiongozi wako wengi. uwaonao hapo ni sehemu tu..kila mmoja anajukumu lake la kila siku.kitambi sio shida maana inategemea aina ya mafunzo ya kujilinda aliyopata
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg
Mkuu sijakuelewa, kwa kumuangalia mtu utajuaje kama yuko fit au la, mavazi, ? maumbile ? pia tofautisha picha uliyoiweka hapo ambapo ni mazingira ya chato, muonekano wa hao jamaa sivyo kama wanavyoonekana wakiwa kwenye shughuli za kitaifa mf uwanja wa taifa au hata kiongozi anapokuwa nje ya nchi, kwa ufupi tu ukitaka kujua kama wapo fiti au la, jaribu lolote mbele ya mheshimiwa
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine

Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.

Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
fb7c9b2738e6778f9aed2032f906170d.jpg
6570690413ab8d7a85875c7e88450598.jpg
e64ed5027ecf9d9d306536146ca4f181.jpg
cc32319f0cdca3be5b42367f3568e392.jpg
a136d6739cd96780537f29cdbc387582.jpg
bcf673b8cb295cee2be67913f9bbe88d.jpg
7415a0e13b58ca090e55e18a5fbdadd6.jpg
7bebe71c99da2725de08fe07acfffa3b.jpg
aa54520e6f8c2216765b8aab1164d954.jpg
37c07be31bd74ffea1cedb2c4b9f193a.jpg
57cbdf148150eb6fdbf3795800ec381a.jpg
da82b071800d9795a3cc37f0792246a1.jpg
c46e702012fe044456fe4b4b0d297229.jpg
Kila mtu pale anakazi yake,kuna wa karibu,kuna wa mbele,nyuma na kila upande. Na wengi ni secret.Kumbe bila shaka wewe unaona aliekaribu unahukumu. Ngoma nzito hiyo mzee jaribu uone.
 
Mambo ya ulinzi wa Rais yana usiri mkubwa sana. Tuyaache yalivyo.
 
Tatizo lako mbona dogo sana mkuu. Jaribu kukatisha uende kuchukua kiatu chako pale kwa mng'arishaji uone. Waona hata kuleee mbali kwenye magari waliokaa kibwege bwege?? Wote walinzi wale. Sasa sijui unataka ulinzi wa wakimbiaji?? Ingelikuwa hivyo wangeli tafuta wamasai wezi wa mifugo tu
Wamasai tena wametoka wap Acha ubwege wewe jadili mada husika bac wapelekee mkewo kama unaona ngombe wanafaidi
 
Walinzi wa mtukufu dah kuna yule mmoja sijui huwa ni mnubi ama msudani wa kusini na kati yule ukimuona hapepesi macho yuko ndindi tii kama kifuu cha mkaa. bwana four eyes ukitaka kujua fitness yao jaribu kuchokoa hadhara ya mtukufu. hapa tutaleteana story za kwenye movie tu
 
Back
Top Bottom