Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mhe JPM aliwekeza kwenye ufugaji wa ng'ombe nakuanzisha Ranchi yake iliyokuwa inasimamiwa Kwa kiasi kikubwa na Dola, Sasa hivi naambiwa walinzi wa umma waliokuwa wanalinda rasilimali hizi wamerejea serikalini na hivyo familia kubaki na jukumu la kusimamia miradi hii.
Je, familia ya Mama Janeth itaweza kusimamia mradi huu au atauza mifugo? Akiuza mifugo ardhi aliyomiki itaenda Wapi? Kwa wanakijiji au itabaki bila matumizi au kuendelezwa?
Ulinzi wa eneo la Karagwe Benako utaendelea kuimarika kuepusha uvamizi wa mifugo kutoka nchi jirani kama zamani? Mbuga mpya usimamizi utaimarika au utadorora?
Je, familia ya Mama Janeth itaweza kusimamia mradi huu au atauza mifugo? Akiuza mifugo ardhi aliyomiki itaenda Wapi? Kwa wanakijiji au itabaki bila matumizi au kuendelezwa?
Ulinzi wa eneo la Karagwe Benako utaendelea kuimarika kuepusha uvamizi wa mifugo kutoka nchi jirani kama zamani? Mbuga mpya usimamizi utaimarika au utadorora?