Walinzi wa SUMA JKT mmekuwa Kero sana au ni stress za kukatishwa ndoto za kuwa JWTZ

Walinzi wa SUMA JKT mmekuwa Kero sana au ni stress za kukatishwa ndoto za kuwa JWTZ

Naona kule Kilimanjaro Airport jinsi wanakagua magari pale getini
Ni wavunjaji wa haki za kibinadamu kabisa
Mtu ameshaona dirishani abiria waliopo ndani ya gari ameshakagua mizigo
Bado anakuja kufungua mlango mmoja baada ya mwingine kisa tu kaona aliyevaa skirt fupi Ili akague hips vizuri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi Wa wale vijana wana ka inferiority complex Fulani hivi.. Huwa hawajiamini kabisa, na matokeo yake hupenda kutumia mabavu unnecessarily..

Kingine, ni wanapenda kuomba hela kuliko maelezo..
 
Pale Chuo cha Usafirishaji wanafunzi huzuiwa kuingia Chuoni kama hawajavaa soksi. Ndio, soksi!. Mkuu wa Wilaya husika kaingilia kati kuwaonya hao Walinzi kuhusu vitu vidogovidogo kama hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimefika nimewakuta getin madogo wawil hiv mtumba pale.ananiiliza mtumish? hapana .em tukague beg lako nampa sitak fungua mwenyewe. Mkutano kikao kimeisha wakuu wamekunywa chai na wao fasta nikasem ujeur kumbe vichai chai vya hapa wizaran
 
Pale Bugando kuna mmoja alinizuia eti matunda siyo chakula anataka waingie walio na chakula tu. Nilijiuliza sana mgonjwa wangu anahitaji matunda jamaa kakaza hakuna kuingia. Ujingaujinga tu na stress zao hawa vijana wa SUMA
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Matunda siyo chakula!

Mkuu baadaye ikawaje kumfikishia mgonjwa wako mahitaji yake?

Kwa karipio la Dc Heri jana pale Nit nadhani watajirekebisha pakubwa!

Vinginevyo wakiendelea kufanya mzaha na vitimbi, kampuni itakosa wateja na ajira zao kuwepo mashskani.
 
Naona kule Kilimanjaro Airport jinsi wanakagua magari pale getini
Ni wavunjaji wa haki za kibinadamu kabisa
Mtu ameshaona dirishani abiria waliopo ndani ya gari ameshakagua mizigo
Bado anakuja kufungua mlango mmoja baada ya mwingine kisa tu kaona aliyevaa skirt fupi Ili akague hips vizuri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Leo nashinda nacheka sana kwa comment zenu wanaJf!
 
Ukifuata utaratibu hutasumbuliwa, ukipeleka ujuaji utashughulikiwa kijeshi.

Doria na operation za jwtz ni za hatari sana. Lazima ziwe na uvunjifu wa hak za binadam
[emoji3][emoji3] muvi zinakuharibu akili sana
 
Sasa kama wanalipwa 140000 kwa mwezi na nauli na chai na chakula wanajitegemea wataacha kuomba?
Kinachoshangaza sasa mkataba wa ofisi inayohitaji huyo askari nasikia gharama zake kwa askari mmoja ni zaidi ya laki 9.
Mh! Surely mkuu!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Matunda siyo chakula!

Mkuu baadaye ikawaje kumfikishia mgonjwa wako mahitaji yake?

Kwa karipio la Dc Heri jana pale Nit nadhani watajirekebisha pakubwa!

Vinginevyo wakiendelea kufanya mzaha na vitimbi, kampuni itakosa wateja na ajira zao kuwepo mashskani.
Nilinunua ugali na maharage kwa mama ntilie nikaenda kumwambia mgonjwa watakaohitaji awapatie akikosa atupe tu maana bila hivyo nisingeingia.
 
Sasa kama wanalipwa 140000 kwa mwezi na nauli na chai na chakula wanajitegemea wataacha kuomba?
Kinachoshangaza sasa mkataba wa ofisi inayohitaji huyo askari nasikia gharama zake kwa askari mmoja ni zaidi ya laki 9.

Wajinga ndo maana wanapewa hiyo hela
 
Pale Chuo cha Usafirishaji wanafunzi huzuiwa kuingia Chuoni kama hawajavaa soksi. Ndio, soksi!. Mkuu wa Wilaya husika kaingilia kati kuwaonya hao Walinzi kuhusu vitu vidogovidogo kama hivyo.

Dah
 
wajameni tuwekane sawa.. ukisema wale ni walinzi wa suma jkt maana yake wanalinda suma jkt ni sawa na kusema walinzi wa CRDB. Hawa ni mgambo wa kampuni ya suma (na kama kampuni zingine za ulinzi) inayomilikiwa na JKT. kwa hiyo wako chni ya sheria za mgambo Tanzania, tatizo wao wanajiona kama ni sehemu ya JKT. Kama anakuzingua na wewe unamzigua kinoma wala hawezi kukupeleka jeshini na hata mjeda hawezi kuingilia ugomvi wenu. Tusiwapaishe wakajiona nao kama wajeda.

Wale hawana lolote kwanza asilimia kubwa ni wanywa gongo
 
Moja ya jambo baya sana n askari kutumia nguvu badala ya intelligent yake vyema ,Nguvu itumike panapohitajika hasa ukitokea ukahidi wa amri au maelekezo maalum kulingana na post/Compound aliyopo kwa muda Huo.

5/5

Suma wanatumia nguvu yaani sijui wanajikuta nan kenge wale
 
Back
Top Bottom