Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=i-pGUDP_Q7E]YouTube - Chinese President Hu Jintao's bodyguards[/ame]
 
Nina uhakika wataionyesha wakati Obama anamaliza kipindi chake lol.

Naona walinzi wetu hawakuwa outnumbered na Waturuki this time around.

naona wamekusikia mkuu, bango lako si mchezo mkuu
 
Naona ilikuwa siku ya Magwanda hii,...kanali mstaafu(Jk)kaaribu kula mjusi naye angeshuka kimabakamabaka ingependeza sana.
 

Attachments

  • land_forces.JPG
    125.8 KB · Views: 169
Aisee Mkuu Icadon,
I was a bit suprised to see:the marine standing beside the door is at attention and smartly saluting his commander-in-chief . Mr Obama returns the salute,'very lightly' but then decides to shake the startled marine's hand!!

naomba kuuliza hivi: Je Raisi Obama alivunja/hajui taratibu za ki-protokali pale alipompa mkono yule marine kwa ishara ya kumsalimia hata baada ya ku-msaluti??
**Hii hata kwa wale walopitia JKT, wanajua haiwezekani.ila kwa wasiyopenda mambo ya kijeshi,Obama was showing yet another side of his 'Cool' nasikia huwa anawaita watu walomzidi umri 'sir',well what have you got to say abt that??
 
Mkuu Icadon salute.....lete mavitus ya G20......please
 
Who cares bana aaaagh! Hata kama angeenda nazo mia kwani ndio nini? Inapokuja mambo ya Obama, umekuwa kama jitu jinga lisilo na kazi....unaboa mwanawane!! LOL

Hey YournameisMwizi...vipi Jumamosi utaenda kumshangilia dogo? Jumamosi ilopita nilimwona rafiki yako Jump Around na mbendera wake kwenye TV....

Ila sasa na wewe huyo O'Bummer wako mi teleprompter yote hiyo ya nini? Kwani hajui anachofanya?
 
...Duh, hapa hao walinzi waliobobea wa joji kichaka nao walikuwa wapi? yaani kimetupwa kiatu cha kushoto, halafu cha kulia...




Huyu George Kichaka likuwa(fit) mtu wa zoezi sana.
Ingekuwa Rais wetu Mstaafu Mkapa nafikiri ingekuwa balaa,
ingekuwa mwendo wakukumbizana emergence room kuukarabati uso.
 

Sijui chochote kuhusiana na maswala ya jeshi na saluti.
 






 
Hmmm, mbona hujasema wameenda na magari matatu ya kumbeba?

Magari matatu sio hoja kwa sababu ni lazima a move kutoka sehemu moja hadi ingine. Sasa mi prompter 12 ya nini? Si tumeambiwa huyu jamaa ni kichwa...ana IQ kubwa...sasa hajui anachotaka kuzungumzia? Never mind tumeshaona madhara ya yeye kuongea bila prompter....
 
Mkuu Icadon,

Kwa ukakamavu nimepiga saluti mkono bado uko juu..tafadhali ikubali ili nishushe mkono Mkuu!
 

Hitilafu za kiufundi mkuu, sasa unataka kusema wataweka teleprompter zote 12 kwa wakati mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…