Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Mnakumbuka arms ready?
373267150.jpg


373267173.jpg

373267175.jpg

...blackberry pia inambebaji au?

thread safi sana, ndio maana hata jamaa zetu nao wame change formation, sio "4-4-2" tena,...😀
 
Naona Mr. Quinn(Mzee mwenye upara) wamemuondoa au yuko likizo.

Nadhani pengine alikuwa likizo maana leo Labor day nimemuoma wakati Obama ameshuka kutoka kwenye Marine One kuelekea kwenye Airforce One
 
jeshi+iran.bmp

Wanajeshi wa Iran wakiwa katika gwaride baada ya kumaliza mafunzo yao ya kikomandoo. Nani kasema kuwa jeshi ni lazima magwanda. Kwa iran jeshi ni zaidi ya kuvaa magwanda kwani wao hujali zaidi ukakamavu na ujasiri.
 
jeshi+iran.bmp

Wanajeshi wa Iran wakiwa katika gwaride baada ya kumaliza mafunzo yao ya kikomandoo. Nani kasema kuwa jeshi ni lazima magwanda. Kwa iran jeshi ni zaidi ya kuvaa magwanda kwani wao hujali zaidi ukakamavu na ujasiri.

Mbona hao wanajeshi waliomaliza mazoezi ya kikomandoo wana vitambi hivyo??????
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=yNMfZ3CZco0"]http://www.youtube.com/watch?v=yNMfZ3CZco0[/ame]

A DAD seen flattening a yob in a clip sweeping the internet was yesterday unmasked as an ex-soldier - with TWO black belts.

The Sun tracked down Gulf War veteran Jason Smith, 35, who said: "He deserved it."


Burly Jason - a 15st master in karate and jiu-jitsu - was filmed felling the foul-mouthed idiot outside his home as a crowd gathered.

Jason Smith, who has become a hit on YouTube after a video was posted of him dealing with a yob,

Jason, who has been a bodyguard to stars, had no idea why local "hard nut" Les Andrews stood on his step ranting and raving in St Helens, Merseyside.

He decked him with a single blow. Wife Rebecca, 23, who had cowered with 22-month daughter Boudiccia, said: "I was proud."

Andrews, 23, was arrested and hit with a curfew for yobbery.

Jason said of becoming a web sensation: "People sick of yob culture enjoy seeing someone turn the tables."
 
http://www.youtube.com/watch?v=yNMfZ3CZco0

A DAD seen flattening a yob in a clip sweeping the internet was yesterday unmasked as an ex-soldier - with TWO black belts.

The Sun tracked down Gulf War veteran Jason Smith, 35, who said: "He deserved it."


Burly Jason - a 15st master in karate and jiu-jitsu - was filmed felling the foul-mouthed idiot outside his home as a crowd gathered.

Jason Smith, who has become a hit on YouTube after a video was posted of him dealing with a yob,

Jason, who has been a bodyguard to stars, had no idea why local "hard nut" Les Andrews stood on his step ranting and raving in St Helens, Merseyside.

He decked him with a single blow. Wife Rebecca, 23, who had cowered with 22-month daughter Boudiccia, said: "I was proud."

Andrews, 23, was arrested and hit with a curfew for yobbery.

Jason said of becoming a web sensation: "People sick of yob culture enjoy seeing someone turn the tables."

Safi sana. Next time you pick up a fight make sure you know who you're fighting with.
 
kuna siku nilipata bahati ya kuhudhulia shughuli moja ambayo wakuu wa nchi mbalimbali walihudhulia,tofauti za mifuno ya ulinzi wa viongozi hawa zilikuwa nyingi na dhahiri kwakuzingati ubora wa mifumo na watendaji wa mfumo walivyo makini,hapo niliweza kulinganisha hata mfumo wa kwetu kwani mkuu wetu alikuwepo na watendaji wake niliwaona na kuongea nao.Kwa kuwa tulikuwa on the ground ilikuwa rahisi kuwauliza maswali kwanini nyinyi hamjafanya hivi wakati walinzi wa nchi nyingine walifanya?je hamuoni faida ya kufanya jambo hilo?Honestly walikiri mapungufu mengi na conclusion ilikuwa"Aah wenzetu wako mbali bwana"baada ya kuulizana maswali hayo faragha tulijumuika na wadau wengine wa ulinzi wa nchi mbalimbali kwa kuwa wakubwa walikuwa chemba na tuliweza kupata chat za hapa na pale,wote ikiwemo wadau wa US walikubali kuwa kwa style waliyokuja nayo waarabu ilikuwa ni mpya na ilikubalika hasa pale tulipoambiwa kuwa ktk formation zao wote wanaokaa kushoto ni left hand dominant & shooters na wanaokaa kulia ni right hand dominant & shooters na hivyo wakati wa kasheshe CP officer anapo toa silaha yake haitapita upande alipo principal ili ku avoid accidental shooting kwa mkuu,wote tulikubali na naamini wazee wa us wali copy na ku paste kwani pia ni mara nyingi wamekuwa wakienda Egypt ili kupata training mbali mbali na kurudi nazo kwao kuzifanyia maboresho kulingana na mazingira yao.
Kwa hap nyumbani lazima tukubali bado kuna tatizo kubwa,
inasikitisha kuona pale uwanja wa taifa raisi yuko kwenye gari la wazi na walinzi wakiwa wananingi'a kama makonda umbali wa unakaribia mita 20,
Tukumbuke uwanja wa taifa kila mtu anaingia, hakuna kusachiwa wa la nini na kwa hapa kwetu bunduki inayotumika sana katika crimes nyingi ni smg aka AK 47,risasi ya smg inasafiri mita 710 kwa sekunde na effective range yake ni 300m ambapo hata mdau akikaa jukwaani pale uwanja wa taifa anaweza kuwa na madhara kwa mkuu."Mungu aepushie mbali" Rate of fire ya smg ni 600 rounds per second=10 rounds/sec
sasa by the time wadau wanaruka na kutoka kwenye X5 wakimbie harafu wapenye kwenye zile pikipiki zinazopamba msafara wa mkuu na kumfikia mkuu itakuwa ni sekunde ngapi? tufanye wamejitahidi na kutumia sekunde 10 x rate of fire 10rds/sec=100 rounds,je ktk risasi 100 kitukwa kimetokea nini? wahusika mbadilike tusije tukatengeneza historia ya uzembe na aibu iliyoambata na huzuni duniani.
 
pamoja na kuwapeleka mafunzoni kwa washirika mbali mbali bado wako dhaifu.............kweli shule ni muhimu.......

Inabidi tuwalipe Blackwater wawafue vijana wetu.................au................Mkuu Icadon/Moshe Dayan/Mchaga anzisheni "Blackwater" yenu........
 
pamoja na kuwapeleka mafunzoni kwa washirika mbali mbali bado wako dhaifu.............kweli shule ni muhimu.......

Inabidi tuwalipe Blackwater wawafue vijana wetu.................au................Mkuu Icadon/Moshe Dayan/Mchaga anzisheni "Blackwater" yenu........

04_09_4heph61.jpg
 
Wakuu Icadon na Mchaga,

Mbona mmeisahau hii mada wazee.....Jaluo yuko Asia sasa hivi.....vipi vijana wa kazi wa huko na mionekano yao ikoje koje.......mapicha please
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 27 (1 members and 26 guests)


.........duuuhh........haya bana
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 27 (1 members and 26 guests)


.........duuuhh........haya bana

Hapa kila siku ukija time ambazo Tanzania watu wako makazini kunakuwa kumejaa guests. Na sie hatulali tunawaangalia wao.
2czvvb7.jpg
 
Wakuu Icadon na Mchaga,

Mbona mmeisahau hii mada wazee.....Jaluo yuko Asia sasa hivi.....vipi vijana wa kazi wa huko na mionekano yao ikoje koje.......mapicha please

Angalia ballistic shield.
1109hmp.jpg

1fcth2.jpg

awrk7k.jpg

16h436e.jpg
 
i1221_c.jpg


Currently Active Users Viewing This Thread: 11 (2 members and 10 guests)
 
Back
Top Bottom